Mume wangu ananila tena!! Tunakulana.
Weeeee usiniambie, kwahiyo mimi nilibahatisha? Au ndio kukariri kila kitu?
Hahahaaaaa Eli79 walaa siwafundi, nimewaeleza tu msimamo wangu, ila sio lazima na wao uwe msimamo wao. Hv kumbe nimeolewa!!! Hebu ngoja nikumbuke
Tangu lini siri ikawa ya wawili? Akuu we nenda ukitolewa na panga ndio urudi upange mkakati mpya, waweza shangaa akakupa tu bila shida
Dua la kukuuuuuu!! Na inakuhusuje labda?
Hahahaha...hapo bold nimecheka sana! Umesema kuwa umeolewa hapo mwanzo, au ulipitiwa? coz nimefadhaika sana kujua kuna mtu anafaidi huko.
Walaaa kwako ndo ilipo maana ww ndo huwez kuikosa af huwez kuvujisha cr 7babu unajua ukivujisha n msala kwahyo itabak kua cr yetu
Sasa nibadilike tena wakati mume wangu Mungu kanipa wa kufanana nami? Alafu kuchukulia jf too serious utakufa na vihoro, shaurilo
Watu wamekunyoosha hadi ukajishtukia, sasa unasema kuwa tusiichukulie JF serious.