Msimamo wangu

Msimamo wangu

hahahaaaaa!! hiyo ilikuwa changamsha genge tu sijui nani kaifukunyua tena hii

Na bado...waweza kushangaa baadae sana unafukinyuliwa wakati wewe unamaisha mengine kabisa..!
 
Last edited by a moderator:
umeshanitisha na huo msimamo wako

baby Viol mie kwako ni kama mkate kwa chai yaani hata sielewi misimamo yote imeyeyukia wapi!!! mahaba mazito unayonipa mpenzi wangu hata sijielewi.
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa Eli79 bwana, aibu ya nini sasa kwa mfano??


Wajua unaweza kuandika kitu leo, kesho ukikisoma unaona aibu na kujiuliza hivi nilikuwa nawaza nini??
 
Last edited by a moderator:
Wajua unaweza kuandika kitu leo, kesho ukikisoma unaona aibu na kujiuliza hivi nilikuwa nawaza nini??

hahahaaa!!! yaani hata sionagi aibu yaani huwa nikiusoma nacheeka nakumbuka ilikuwaje nikauleta uzi huu maana hata source yake sikumbuki, yaani kiufupi unanifurahishaga sana haswa hizo comment za wadau, khaaah!!!
 
Sijui Zoba gan atakubali kuwa nawe...
Wajanja watabamiza na kupotea...
 
labda mgonjwa wa akil atakubali

Hahahaaaa!! Mume wangu sio mgonjwa wa akili, ni "mwanaume" anayeijua nafasi yake ktk familia yake, so walaaaaa mambo yenda smooth
 
Sijui Zoba gan atakubali kuwa nawe...
Wajanja watabamiza na kupotea...

Tafsiri ya "mjanja kwako" ni ipi? Sasa mbona kaweka makazi? Grow up boy then u'll understand
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

Mmeskia tangazo ilo ..... 😀
 
Back
Top Bottom