Msimamo wangu

Msimamo wangu

Hahahaaa! Umeona eeeh, itakuwa kwakweli, umeona wavulana walivyopanik sasa, msimamo wangu na mume wangu ila unawauma wao
Halafu chunguza utagundua, hao wanaotokwa povu hawajawahi hata kukaa na mwanamke kinyumba japo wiki. Miogaaaa...
Wenye wake wanaelewa.
 
Kumbe atoto umeshaolewa!! Kwa hiyo hapa unawafunda wadogo zako!! ? teh!!

Hahahaaaaa Eli79 walaa siwafundi, nimewaeleza tu msimamo wangu, ila sio lazima na wao uwe msimamo wao. Hv kumbe nimeolewa!!! Hebu ngoja nikumbuke
 
Last edited by a moderator:
Tatizo hiyo misimamo yao hawaweki wazi kwa hao wahusika wanafanya kisirisiri,hivi mwanamke anayetaka mshahara wangu hataki wake nijue unaenda wapi kwanini nisimtimue

Hahahaaaaa! Hili nalo ni janga, hv kweli mwanaume unaulizia kabisa mshahara wa mkeo tena umeukomaliaaaa!!! Labda km alikuoa
 
Hahahaaaaa! Hili nalo ni janga, hv kweli mwanaume unaulizia kabisa mshahara wa mkeo tena umeukomaliaaaa!!! Labda km alikuoa

Lazima kujua Kama tunaishi nyumba moja,hayo mambo wanawake wa kiafrica ndo wanafanya ila wanawake wa kizungu kila moja anawajibika kwenye familia,Kama mshahara wako hauna faida kwenye familia lazima uamue moja kuacha kazi au kwenda kwenu
 
Halafu chunguza utagundua, hao wanaotokwa povu hawajawahi hata kukaa na mwanamke kinyumba japo wiki. Miogaaaa...
Wenye wake wanaelewa.

Kabisaaa, na sie wenye waume tunaelewa kwahiyo walaa haitupi kazi, kweli nimeamini wavulana wanaogopa challenge, kitu kidogo tu wanapaniki hatari, yanawatoka hadi ya akiba
 
Lazima kujua Kama tunaishi nyumba moja,hayo mambo wanawake wa kiafrica ndo wanafanya ila wanawake wa kizungu kila moja anawajibika kwenye familia,Kama mshahara wako hauna faida kwenye familia lazima uamue moja kuacha kazi au kwenda kwenu

Acha uvivu, saka pesa hudumia familia fully, kutegemea mshahara wa mkeo ni uvivu wa kufikiri, akiamua kusaidia basi ni bonus tu, sio ndio uukomalie
 
Kabisaaa, na sie wenye waume tunaelewa kwahiyo walaa haitupi kazi, kweli nimeamini wavulana wanaogopa challenge, kitu kidogo tu wanapaniki hatari, yanawatoka hadi ya akiba

Kaka zao wawape siri ya mchezo. Mbona sie tunaishi nao raha mustarehe kwa maisha haya haya? Ila nashangaa huku wanaogooopa!
 
Acha uvivu, saka pesa hudumia familia fully, kutegemea mshahara wa mkeo ni uvivu wa kufikiri, akiamua kusaidia basi ni bonus tu, sio ndio uukomalie

Nani kakuambia sina pesa,sijaoa na nishafanikiwa,ila kuhusu mke wangu lazima nimfuatilie nataka kujua hela zake si kwamba nazihitaji
 
Lazima kujua Kama tunaishi nyumba moja,hayo mambo wanawake wa kiafrica ndo wanafanya ila wanawake wa kizungu kila moja anawajibika kwenye familia,Kama mshahara wako hauna faida kwenye familia lazima uamue moja kuacha kazi au kwenda kwenu

Wewe hujaoa wewe. Wabaume wenzio wangapi wanakuja huku kulalamika hawajui vipato vya wake zao? Unadhani huwa wanathubutu kuuliza kwa wake zao?
Wanakuja huku ili kutafuta amani, wanapima kama ni wao tu ndio hawajui au kuna wengine?
 
Wewe hujaoa wewe. Wabaume wenzio wangapi wanakuja huku kulalamika hawajui vipato vya wake zao? Unadhani huwa wanathubutu kuuliza kwa wake zao?
Wanakuja huku ili kutafuta amani, wanapima kama ni wao tu ndio hawajui au kuna wengine?

Of course sijaoa,wamewazoesha wanawake zao vibaya,mshahara wa mke wangu unaweza usitumike ni wake lakini lazima nijue matumizi anafanyaje
 
Back
Top Bottom