Msimamo wangu

Msimamo wangu

.atoto me nimekupenda bure, kwani huna mdogo mwenye msimamo kama wako?,au nambie kwa Tanzania hii watu wa aina yako wanapatikana mikoa ipi nikajichukulie wangu mapemaaa!!!!!
 
.atoto me nimekupenda bure, kwani huna mdogo mwenye msimamo kama wako?,au nambie kwa Tanzania hii watu wa aina yako wanapatikana mikoa ipi nikajichukulie wangu mapemaaa!!!!!

Kwa bahati mbaya mimi ndio last born na ndio nishaolewa, kuhusu mikoa hebu google kwanza
 
Angalieni na familia wanazotokea hawa watu.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Afu watu wa hivi hata wengi wao hupigwa p za bureee na kuolewa hawaolewi
 
Angalieni na familia wanazotokea hawa watu.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Afu watu wa hivi hata wengi wao hupigwa p za bureee na kuolewa hawaolewi

.yani ni zaidi uchoyo..
 
Hahahaaaa!! Mume wangu sio mgonjwa wa akili, ni "mwanaume" anayeijua nafasi yake ktk familia yake, so walaaaaa mambo yenda smooth


Kumbe atoto umeshaolewa!! Kwa hiyo hapa unawafunda wadogo zako!! ? teh!!
 
Last edited by a moderator:
Angalieni na familia wanazotokea hawa watu.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Afu watu wa hivi hata wengi wao hupigwa p za bureee na kuolewa hawaolewi

Tatizo hiyo misimamo yao hawaweki wazi kwa hao wahusika wanafanya kisirisiri,hivi mwanamke anayetaka mshahara wangu hataki wake nijue unaenda wapi kwanini nisimtimue
 
Angalieni na familia wanazotokea hawa watu.
Huu ni ubinafsi wa hali ya juu.
Afu watu wa hivi hata wengi wao hupigwa p za bureee na kuolewa hawaolewi

Weeeee usiniambie, kwahiyo mimi nilibahatisha? Au ndio kukariri kila kitu?
 
Hapa nilipitwa.... nadhani nilikua leba.

Hahahaaa! Umeona eeeh, itakuwa kwakweli, umeona wavulana walivyopanik sasa, msimamo wangu na mume wangu ila unawauma wao
 
Back
Top Bottom