Msimamo wangu

Msimamo wangu

Hahaha nalo jambo! Embu siku na ww zuga hujibu....kama wa ukweli watakubembeleza (ai dada jamani si nakusalimia!) kama ovyo utaishia kupokea matusi tu (uzuri wenyewe uko wp etc). Lol

loooh!!! hao watakuwa wale wa vijiweni sasa, maana hata uwe mzuri vp wakikuita ukachuna bac uzuri wote unapotea yanafuata matusi tu, mie huwa najitahid kuitkia kila salamu maana nicipoitikia nahic yatakayowatoka yatakuwa mengi mno maana hali tete
 
Mhhhh.....Hujakumbwa na mahaba bado, omba Mungu yasikupate...

Halafu hapo kwenye ndugu hapo HAPANA....unadhani mtoto wa watu kajizaa mwenyewe? Kajisomesha mwenyewe? Yani kukutana ukubwani ndo umtenge na ndugu zake?
Kumbuka kwa familia zetu za kiafrika hadi unakutana nae amekomaa hivyo ujue kuna watu walijitoa na walipata karaha kwa ajili yake...acha alipe fadhila.

Labda ukatafute babu wa kizungu.....!
You have been taken for a ride jiniaz wangu.
 
Msimamo safi sana atoto. Kamatia hapo hapo kwani nini bana.
 
Last edited by a moderator:
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

Kumbe ni wewe!!!niliiona hii kitu insta,kama sikosei we utakua mmachame tu coz ndo zenu.
 
We ni kenge kweli,eti huna huruma na mwanaume.,hata ukimwi hautakua na huruma na wewe,..
 
Ndo maana nilijubaliana na aliyesema wanawake wa kuwaoa ni wa standard 7 au 4m 4
 
Ndo maana nilijubaliana na aliyesema wanawake wa kuwaoa ni wa standard 7 au 4m 4

na kuna mwenzio kule analalama 4m4 kamtenda, hii kitu haina formula cha mcngi tafuta pesa
 
We standard ngapi vile ulinambia ulifel mtihani wa taifa wa darasa la nne!!!!! Jokes

ila niliporudia nilifaulu nikafanikiwa kuhitimu std7 mwaka 1996, ila c unajua tena shule zilikuwa chache nilifaulu ila wakanionea hawakunichagua kuendelea na elimu ya sekondari, soo mie ni std7 nafaa kabisaaa kuwa mke acording to u!
 
ila niliporudia nilifaulu nikafanikiwa kuhitimu std7 mwaka 1996, ila c unajua tena shule zilikuwa chache nilifaulu ila wakanionea hawakunichagua kuendelea na elimu ya sekondari, soo mie ni std7 nafaa kabisaaa kuwa mke acording to u!

Mke mweny itikadi kali ivo unantisha ww mhhhh
 
Back
Top Bottom