huu ni msimamo wangu ila kama wifi naye atakuwa nao km wangu its.well n gud, walaaa sina shida nalo
nothing wrong with it coz ninachokiamini na ninachokutaka uamini co lazima ukiamini!!!
ila unajichanganya dada yangu! so why did u challenge my stand if at all u mean what u have written in red?
hivi kwani unatakaje labda!
i chalenged it coz ndivyo ninavyoamini na ninavyokutaka uamini ila km hutaki kuamini pia haulazimishwi, shida iko wapi hapo?
yaani naitekeleza kwa kiwango cha hali ya juu
huo umri nishavuka mm
usijelia MmmamayaaanguWeeee !! you declare war !!huuu ni msimamo thabiti kabisaaa
mbwembwe tu hizo unaweza kuta ni maneno tu no actions