Msimamo wangu

Msimamo wangu

Rahisi Sana kusema Hayo yote shosti lakini ukitaka kujua utamu wa ngoma uingie ucheze... Nakuombea mungu akupe mume mwenye kheir na masikizano .....🙏Ameen .
 
Rahisi Sana kusema Hayo yote shosti lakini ukitaka kujua utamu wa ngoma uingie ucheze... Nakuombea mungu akupe mume mwenye kheir na masikizano .....🙏Ameen .

ulikuwa wapi muda wote jamani kuja kutoa busara pevu km hizi??? ameeen
 
hee!!! ndo mlipoishia kumbe ngoja niendelee kusoma zinazofata enheeee!!!!
 
eti eeeh!!
now nimekumbuka, muafrika

hahaha kumbe muafrika mwenzangu. okay ni hiviiihii misimamo tulikuwa nayo zaidi ya hii ila in real life mambo yako tofauti sana. ukikomaa nayo waweza ishia kwenye usingle mother au ukibahatika sana kwenye talaka.
 
eti eeh!! au huwa wananishangaa sasa wanaishia kuzuga kwa kunipa hi!!!

Hahaha nalo jambo! Embu siku na ww zuga hujibu....kama wa ukweli watakubembeleza (ai dada jamani si nakusalimia!) kama ovyo utaishia kupokea matusi tu (uzuri wenyewe uko wp etc). Lol
 
hahaha kumbe muafrika mwenzangu. okay ni hiviiihii misimamo tulikuwa nayo zaidi ya hii ila in real life mambo yako tofauti sana. ukikomaa nayo waweza ishia kwenye usingle mother au ukibahatika sana kwenye talaka.

wacha we!!! hakuna kitu kama hicho, mcmamo palepale this is real life
 
Back
Top Bottom