Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,150
- 28,628
hoja dhaifu zipi hizo...hujatoa mfano hata mmoja wa hoja dhaifu kutoka wa wanachadema wa jf.. kwa kifupi hueleweki..ila sikushangai vijan wengine Tanzania mna Aisha na mamb ya kufikirika ndo maaa unawez kuandika paragrafu tatu bil fano wa hoja nayozungumza...ple sana....who are u y the way..?
Huyu ni mwana ACT mwenzenu. Mpuuzi sana huyu.
na wewe unawakilisha chama hapa jukwaani?hapani siyo chama changu unakurupuka sana
Wewe unatetea ufisadi?Unatetea nchi gani wewe ? Seriously na wewe unajiona unatetea nchi?
Hopeless kabisa
Ndio tunawafutilia mbaliKumbe hili genge la Wahuni bado lina masalia yake....Ila yatapukutika mapema...
Nipe link ya huo uzi niingie fasta..Hapa Mimi Naona Umeamua Kuendelea Kujiumbua....
Molemo amekuvuruga kweli, kwenye ule uzi wa Jana umeamua kuanzisha uzi mwingine tena..
Siku Molemo akishabikiwa na vibaraka wa Lumumba naomba afukuzwe mara moja chamani.Hakuna kamanda wa kweli anayeweza kushabikiwa na Nguchiro.
Kwa namna ya pekee niwapongeze makamanda wote wa Chadema wanaopigania chama chao dhidi ya vibaka wachache.
Niwatambue kwa uchache
Kamanda Chademakwanza
Kamanda Standalone
Kamanda Crashwise
Kamanda IKWETE
Kamanda Mwita Maranya
Na makamanda wote mlioingia kwenye uzi huu kuumbua vibaraka wa Lumumba.
Always it is Either you are with us or Against us!
So what?
Ndio tunawafutilia mbali
we sema unatetea tumbo laka bhana. acha kuzingua watu hapa. wakutetea nchi utakuwa wewe? pyuuuu!!!!!Kama nitabaki kuwa hovyo kwakutetea nchi yangu kutokana na mafisadi sawa kabisa
Cc. Molemo
Waulize ccm wenzako kiboko yao hapa jukwa la siasa ni nani nenda urudi tenawe sema unatetea tumbo laka bhana. acha kuzingua watu hapa. wakutetea nchi utakuwa wewe? pyuuuu!!!!!
Asante sana Kamanda sita acha jukumu languHongereni kwa kazi iliyotukuka ya kuwafichua mamluki..
Hiki ni kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu CCm tayari wameshamwaga pesa...Mambo kama haya ya wahuni kama kina rosemarie lazima yatokee na lazima tujiandae na zaidi ya haya....
Nimejitahidi kusoma lakini nimetoka kapa.Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.
Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.
Mimi nikiwa kama mwanachama wa CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.
naamini siku moja CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.
CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.
Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!
Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!
Rosemary Kimaro!
naungana na wewe tu kwa sababu nimechoka kutawaliwa na mkoloni huyu mweusi. ila haibadili ukweli kuwa wewe unatetea tumbo laki. watetezi wataifa hili tuko wachache sana.Waulize ccm wenzako kiboko yao hapa jukwa la siasa ni nani nenda urudi tena