Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
Hatuta mumunya Maneno kuwafichua vijaraka wa ccm nakujifanya ni chadema
Cc. Molemi, crashwise, mwita Maranya, Standalone
Cc. Molemi, crashwise, mwita Maranya, Standalone
Siku Molemo akishabikiwa na vibaraka wa Lumumba naomba afukuzwe mara moja chamani.Hakuna kamanda wa kweli anayeweza kushabikiwa na Nguchiro.
Kwa namna ya pekee niwapongeze makamanda wote wa Chadema wanaopigania chama chao dhidi ya vibaka wachache.
Niwatambue kwa uchache
Kamanda Chademakwanza
Kamanda Standalone
Kamanda Crashwise
Kamanda IKWETE
Kamanda Mwita Maranya
Na makamanda wote mlioingia kwenye uzi huu kuumbua vibaraka wa Lumumba.
Always it is Either you are with us or Against us!
Kama hukuwahi kutambua kuwa CHADEMA kupitia BAVICHA kina watetezi wa kiwango cha chini kabisa katika uelewa wa masuala ya kiuchumi, kisiasa na kijamii basi utakuwa mgeni hapa Jamiiforums.
Nguli wa behavioral science aitwaye Steve Maraboli aliwahi kusema, People tend to be generous when sharing their nonsense, stupid and ignorance.
Hawa ndiyo BAVICHA.
Molemo njoo umtie discipline huyu mwana CCM-ACT
pamoja sana Kamanda mapambano yanaendelea...Hatuta mumunya Maneno kuwafichua vibaraka wa ccm nakujifanya ni chadema
Cc. Molemo, crashwise, mwita Maranya, Standalone
Hatuta mumunya Maneno kuwafichua vijaraka wa ccm nakujifanya ni chadema
Cc. Molemi, crashwise, mwita Maranya, Standalone
Tulia tuwaingizie dawaYaani wewe hata hujistukii...wenzako wa CHADEMA humu wanakukosoa wewe unaona sawa tuuu...Hovyo sana wewe mtu....CDM would be better off without you "Ndio Mzees"
Asante
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
Napata kigugumizi hapa...... Tatizo kubwa!!
Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!
Rosemary Kimaro!
Mkuu Rosemary, Freeland, Maranya, Chadema kwanza na wengineo,
Kama ilivyoada tunatakiwa kuheshimiana kwanza ili tuweze kwenda sawa!! Mleta mada (Rosemary) anadai heshima na uhuru wa mawazo yake, -ANASTAHILI HAYO. Lakini pia anatakiwa kuheshimu wengine na uhuru wa mawazo ya wanaompinga!! Wakati mwingine tunashindwa kuelewana lakini kwa mantiki ya heshima na uhuru wa mawazo ya mwingine, tunafikia mahali tunasema "KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA" kila mmoja anabaki namsimamo wake!! Maisha yanasonga sio kutishana!!
Mkuu hapa Umekosea
Kwa hio chama chetu cha CHADEMA kina wenye akili kubwa tu?
Mkuu,wewe ni mwanachama wa siku nyingi mwenye heshima zake...Jihadhari na kauli kama hizi
CHADEMA ni chama cha siasa kinachojumuisha watu wenye tabia ,haiba,akili,uwezo wa kifedha ,umri tofauti tofauti
Lakini wote kwa pamoja mchango wao ni muhimu haupaswi kubezwa...Hata Molemo pamoja na kwamba ana upuuzi mkubwa lakini pia ana mchango wake
Asante
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF!
Mkuu Rosemary, Freeland, Maranya, Chadema kwanza na wengineo,
Kama ilivyoada tunatakiwa kuheshimiana kwanza ili tuweze kwenda sawa!! Mleta mada (Rosemary) anadai heshima na uhuru wa mawazo yake, -ANASTAHILI HAYO. Lakini pia anatakiwa kuheshimu wengine na uhuru wa mawazo ya wanaompinga!! Wakati mwingine tunashindwa kuelewana lakini kwa mantiki ya heshima na uhuru wa mawazo ya mwingine, tunafikia mahali tunasema "KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA" kila mmoja anabaki namsimamo wake!! Maisha yanasonga sio kutishana!!
Ulimnyima nini huyu dada mpaka amechanganyikiwa hivi, hebu nijuze kidogo coz sina taarifa zaidi ya kuona dada anaanzisha nyuzi tu kila kukicha
Mkuu Freeland huyu jamaa anayejiita Molemo anashindwa kujitofautisha na wakina Nape Simiyu Yetu na laki si pesa na wajinga wengine wa Lumumba humu JF ni hatari sana kwa ukuaji wa chama kama ataendekezwa nafikiri kwenye ule Uzi wake wakina Nguruvi3 na joka kuu wamempa somo kama hatajisahihisha lazima atimuliwe na yeyeUpuuzi sio tusi...bali upuuzi ni sifa
Kwa watu aina ya Molemo ambaye wewe unafanana nae hata namna ya kuandika sifa hii wanaendana nayo
Mkuu Precise Pangolin kuna uwezekano mkubwa huyu jamaa sio wa Lumumba lakini ni aina ya mtu ambaye uwezo wake wa akili ni wa chini mnooooo...Ni wale watu ambao hawezi hata kufikiria yeye binafsi...hawa ndio watu ambao kwa maneno yao wanafanya wengine tuonekane wapumbavu
Hujakosea kabisa na wengine wanatuita mapacha maana urafiki wetu niwakaribu sana mpaka kwenye kuwaumbua mafisadi na chama chaoWewe na Molemo hamna tofauti.
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.
Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.
Mimi nikiwa kama mwanachama wa CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.
naamini siku moja CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.
CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.
Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!
Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!
Rosemary Kimaro!
Kutokana na kutokuelewana na hoja dhaifu zinazoendelea hapa jukwaani naona ni vema niweke msimamo wangu wazi ili niweze kueleweka.
Mimi ni mwanachama hai wa CHADEMA,nimejiunga na chama tangu miaka ya 90 mwanzoni,sisi ndiyo wanachama wa mwanzoni kabisa wa CHADEMA kanda ya kaskazini na nilishiriki kuhamasisha Watanzania wenzangu kujiunga na chama miaka hiyo.
Mimi nikiwa kama mwanachama wa CHADEMA nina haki ya kuhoji,kukubali,kukataa,kurekebisha,kubisha,kuunga mkono na kadhalika,hakuna kiongozi au mwanachama yeyote wa CHADEMA mwenye uwezo wa kubadilisha msimamo wangu,ninafata katiba ya chama na kamwe simfati mtu.
naamini siku moja CHADEMA haitakuwepo tena na CCM haitakuwepo lakini taifa langu litakuwepo msimamo wangu nasimama na Taifa kama mimi na kulitendea haki.
CHADEMA ni banadamu tu kama CCM na inawezekana kabisa tukichukua madaraka tukafanya vibaya kuliko hata ccm kwa sababu wote tumelelewa na mfumo ule ule mawazo yaleyale huo ndiyo msimamo wangu na lazima uheshimiwe na kama hutaki kuheshimu msimamo wangu njoo na hoja na siyo kukurupuka,ukiwa mtu wa level ya chini na huna utayari wa kubadilika utabaki level ile ile miaka nenda rudi.
Yanayoendelea hapa jukwaani ni aibu kwa chama changu,naijua JF ni special for Great thinkers where we dare to talk openly! Naongea mawazo yangu ndivyo ninavyojulikana kama chama kimefika level ya kutegemea wawakilishi wenye hoja dhaifu kama waliopo hapa JF then i have to think twice!
Msimamo wangu uheshimiwe na watu wote kwa sababu ni haki yangu kikatiba kuwa na msimamo kama huu!
Rosemary Kimaro!