Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Ukawa ni genge la wahuni watu ambao hawawaheshimu hata viongozi wa dini na kuwatukana hawafai kuaminiwa tena kwenye kutunga katiba yetu
 
Wewe shetwani ni lini uliwaona UKAWA watu makini, wakati kila siku huishi kuwaponda. Buku 7 zinawaharibu sana vijana. Usijisahau sana usije ukaliwa kiboga.
Bavicha hoja zimeisha mnaanza matusi nyie viumbe wa ajabu sana watu mkitofautiana nao mawazo mnaanza kuwatukana.
 
UKAWA unabeba matumaini ya Watanzania. UKAWA unaungwa mkono na Watanzania. UKAWA unaaminiwa na wananchi.

Just a non stater for a come back strategy.

tumaini ,nitajie wapi wananchi tuliwachagua mtuwakilishe kwenye bunge la katiba.punguza upotoshaji bado kijana mdogo sana una safari ndefu ya kisiasa.
 
Bavicha hoja zimeisha mnaanza matusi nyie viumbe wa ajabu sana watu mkitofautiana nao mawazo mnaanza kuwatukana.

Dogo
Mimi na babako tunachangia kumtafuna mamako. Mmoja mbele; mwingine nyuma. Mie babako wa kambo. Sipo kundi la vijana.
 
Bavicha hoja zimeisha mnaanza matusi nyie viumbe wa ajabu sana watu mkitofautiana nao mawazo mnaanza kuwatukana.

wewe ni shetani,toka lini ukawaona ukawa wa maana.mnafiki sana wewe ustaadhi
 
Hizi sasa ni bange za sikukuu ya eid. Kama ccm imeng'ang'ana na serikali mbili, nini kitakachowafanya wakubaliane na hayo mambo uliyoorodhesha hapo juu? Unadhani yana maslahi kwa ccm? Idiotum.

Watch your language please!!
CCM hawataki serikali 3 basi ndiyo automatical watapinga Tume huru ya uchaguzi na wala majaji wasithibitishwe na Bunge?Nje ya mfumo huu wa Muungano ni ngumu kwa CCM kujipanga na kuendelea kuwepo hai na CCM wanajua wazi watanyang'wanya status ya chama-dola wakikubali serikali 3!

Hoja yangu hapo ni kuwa slowly tuanze na mabadiliko hayo juu ambayo yata facilitate kuiondoka CCM madarakani baadae!!CCM watapinga serikali 3 kwa nguvu zao zote lkn watakuwa soft kwenye mambo mengi ndani ya rasimu na tuchukue advantage hiyo!Tu compromise tuwape wanachotaka na UKAWA isimamie tupate mambo muhimu mengine yaliyoletwa na Mzee Warioba!

Rasimu ya Mzee Warioba ina mambo mengi tu muhimu kwetu zaidi ya muundoi wa serikali
 
Hayo ni maoni yake na familia yake.
Msukule mkubwa huyu,ukawa inamhusu nini,akomae na act mtt wa ccm

Kuwa mwelewa wewe, wapi ameinukuu familia yake? Haya ni maoni ya kijana msomi acha ngedere wenye nia ya kusambaratisha utaifa na utu wa watz. ZZK anafafanua kile tunachoamini kuwa sawa na uchaguzi ujao mtaona cha mtema kuni.
 
mtakufa nyie mtamuacha Zitto akipeta

Hivi Zitto bado yuko kwenye ulingo wa siasa, mbona siku hizi amepotea sana tofauti na zamani au ndiyo mwanzo wa kutoweka kwenye ramani za Siasa za Tanzania? Tunamtakia safari njema na akifika awasalimie akina Tambwe, Lamwai na Kabouru.
 
mbona hawamsifii anapoongea mambo ya msingi?

CCM waliompa mimba kisha wakamtema wamsifie, unamkataa mume aliyekuwa anakulea hadi unaheshimika kisha unaruka na anaekudanganya na noti ili umsaliti mumeo, unamsaliti nae anakutosa. Au songoro hujui kama chama chako kimemtosa heavy?
 
kwani si kila mmoja anayo haki ya kutoa maonio yakae? mi sioni tatizo ZITTO kutoa maoni yake kuhusu anachokiamini.by the way Zitto hakuiponda ukawa naq alisema ukawa ikiendelea hivo hivo itakuwa vyema sana.
 
Nadhani Zito alitoa mawazo yake na UKAWA wamemjibu kwa kumpa onyo. Watu huwa wanatoa onyo hata kwa Rais sembuse Zito?

Hawa jamaa wanazidi kujianika. Hawajashika madaraka hawataki waguswe. Kutoa maoni ni haki ya kiraia. Watu wanamsema rais sembuse ukawa?
 
Ukiona manyoya ujue kashaliwa. Zito yupo katika wakati mgumu mno,ndani ya mwaka huu kampoteza Mama yake na ni mwaka huu huu anajikuta anapoteza haiba yake aliyoijenga kwa jasho na damu na ushirikina mwingi.
Rejea: kauli yake ya "panya".
 
Una matatizo mengi ya ufahamu zaidi ya unavyodhania. Hivi hujui pia kuwa kuna watu wanatumia dini kuvimbisha matumbo yao? Kuna watu wanaitwa ni viongozi wa dini lakini ni matapeli, wala rushwa, wazinzi, n.k.
Ukawa ni genge la wahuni watu ambao hawawaheshimu hata viongozi wa dini na kuwatukana hawafai kuaminiwa tena kwenye kutunga katiba yetu
 
Watch your language please!!
CCM hawataki serikali 3 basi ndiyo automatical watapinga Tume huru ya uchaguzi na wala majaji wasithibitishwe na Bunge?Nje ya mfumo huu wa Muungano ni ngumu kwa CCM kujipanga na kuendelea kuwepo hai na CCM wanajua wazi watanyang'wanya status ya chama-dola wakikubali serikali 3!

Hoja yangu hapo ni kuwa slowly tuanze na mabadiliko hayo juu ambayo yata facilitate kuiondoka CCM madarakani baadae!!CCM watapinga serikali 3 kwa nguvu zao zote lkn watakuwa soft kwenye mambo mengi ndani ya rasimu na tuchukue advantage hiyo!Tu compromise tuwape wanachotaka na UKAWA isimamie tupate mambo muhimu mengine yaliyoletwa na Mzee Warioba!

Rasimu ya Mzee Warioba ina mambo mengi tu muhimu kwetu zaidi ya muundoi wa serikali

Mkuu ulichosema ni kweli lakini kwa sababu ya wingi wao CCM hata hayo mambo wakiamua kuyakataa wanaweza...UKAWA hawezi kuwa na nguvu za kuwazuia...
 
Huyu jamaa ni kiazi kwelikweli!

Hivi Zitto anafikiri ana akili sana kuliko Viongozi wote wa Vyama vya Siasa vya CUF,CHADEMA,NCCR-Mageuzi na baadhi ya Wabunge wa BMK kutoka kundi la 201?Je, Zitto ana akili kuliko Jaji Warioba na Tume yake walioandaa Rasimu ya Katiba mpya inayopiganiwa na UKAWA?

Zitto anatakiwa anyamaze kimya kwasababu Watanzania wote weshafahamu kuwa yeye ni MPINZANI NA MSALITI Nambari wahedi wa Mageuzi ndani ya Tanzania. Yeye amechagua kuendelee kutumiwa kama Kondomu na Mafisadi wa CCM kina Lowassa, Mchembe,Tyson, Kinana, Nepi na wengineo.

Kuna siku atakuja kujutia huu usaliti na uhaini anaowafanyia Watanzania.
 
Mkuu, kuna sehemu nimeandika kuwa UKAWA inaundwa na wabunge wa Chadema ,CUF na NCCR , sasa yeye ni mbunge wa kudi lipi ama posho ndio zinamfanya anashindwa kujipambanua kwa uwazi , if a nafikiri yuko sahihi aachane na huo Ubunge wa Chadema akafanye issue nyingine , sio Ubunge anataka na hataki kushiriki maamuzi ya wengi anaishia kupwaya tu POPO Ana matatizo makubwa sana
sijui mjumbe wa bunge la katiba anawajibika kwa nani, ila ni principle ile ile kwamba anawajibika kwa Maslahi ya Taifa, wananchi, chama chake and then yeye binafsi. Sijaona wapi ZZk alipoteleza - maana msimamo wake upo dhahiri, hawezi kuingia bungeni iwapo hakuna muafaka - hapo kazungumza yeye na kwa niaba ya kundi linalohitaji muafaka, nakubaliana naye maana rasimu ya katiba haina jambo la idadi ya serikali 3 peke yake tu, hata ukipima muda tuliofikia tume huru ya uchaguzi ni muhimu zaidi kuliko idadi ya serikali-jambo ambalo hata UKAWA wanalihitaji
 
sikuelewa kumbe ukawa siyo ideology na mawazo sawa, ila lazima uwe front kwenye mikutano n.k

pooooa

..YES, ni zaidi ya kukubaliana na mawazo na msimamo wa Ukawa.

..ni lazima mhusika ashiriki shughuli za Ukawa kama mikutano, pamoja na kuutetea na kuutangaza msimamo wa Ukawa kwa wananchi.

..binafsi simlaumu Zitto kwa kutokuwepo ktk Ukawa. Zitto ana uhuru wa kuwepo au kutokuwepo ktk ukawa.

cc MTAZAMO
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom