Mkuu, kuna sehemu nimeandika kuwa UKAWA inaundwa na wabunge wa Chadema ,CUF na NCCR , sasa yeye ni mbunge wa kudi lipi ama posho ndio zinamfanya anashindwa kujipambanua kwa uwazi , if a nafikiri yuko sahihi aachane na huo Ubunge wa Chadema akafanye issue nyingine , sio Ubunge anataka na hataki kushiriki maamuzi ya wengi anaishia kupwaya tu POPO Ana matatizo makubwa sana..mbona naona kama Zitto yuko kivyake-vyake?
..hata anapotaja Ukawa anawataja kama "wale" na siyo "sisi."
..kwa mfano anasema "viongozi wa Bunge la Katiba wanawabeza Ukawa..." badala ya kusema "viongozi wa Bunge la Katiba wanatubeza sisi tulioko Ukawa..."
..sasa hii inatoka kwenye written statement ya Zitto ambapo alikuwa na muda wa kutafakari maana ya kile alichoandika.
..pia Ukawa wamefanya mikutano kadhaa mikoani na sidhani kama Zitto amewahi kushiriki mkutano wowote ule.
cc Ndibalema, Haki sawa
Ndugu, katiba hii ya 1977 imewapeleka wabunge wa upinzani bungeni na ikawapatia kura wagombea wa nafasi za urais kupitia upinzani.Hata mm sina imani na UKAWA!Muundo wa serikali 3 haijathibitika kama tukipata ndiyo tutaondokana na umaskini huu wa kutisha!
Bila Tume huru hamuiondoi CCM kwenye sanduku la kura hata iweje!
CC MwanaDiwani Lizabon ifweero Simiyu Yetu
Zitto mchawi mchawi sana...sijui hata tulitoka naye wapi huyu mtu..
basi atakuwa na imani na baba yake. huyu mtu tatizo. uchawi uchawi tu kisa ukawa haimwamini.
Umesoma alichosema Zitto kuhusu bunge la katiba kweli wewe! Mi naona umekurupuka kijibu tu, heburudia tena ukiwa huru kabisa kiakili.
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
Kwa vyovyote vile Zitto ni tofauti sana na Hamad Rashid, Zitto amesema kweli kwamba bungeni kwa sasa ni porojo tu hakuna katiba lakini pia hajaonyeshwa kuchukizwa na UKAWA ila alichokuwa anaomba ni kwamba umoja wa ukawa udumu, angeulizwa Hamad Rashid kwanza angewatukana UKAWA alafu angewataka ukawa warudi kujadili rasimu ya CCM ya Serikali 2.,
Kwa vyovyote vile Zitto ni tofauti sana na Hamad Rashid, Zitto amesema kweli kwamba bungeni kwa sasa ni porojo tu hakuna katiba lakini pia hajaonyeshwa kuchukizwa na UKAWA ila alichokuwa anaomba ni kwamba umoja wa ukawa udumu, angeulizwa Hamad Rashid kwanza angewatukana UKAWA alafu angewataka ukawa warudi kujadili rasimu ya CCM ya Serikali 2.,
Ndugu, katiba hii ya 1977 imewapeleka wabunge wa upinzani bungeni na ikawapatia kura wagombea wa nafasi za urais kupitia upinzani.
Kuna baadhi ya watu kama wewe wanadhani mshindi wa Urais kupitia vyama vya upinzani atapatikana kwenye Tume ya Uchaguzi kana kwamba wajumbe wa tume ndiyo wapiga kura.
Chaguzi za hivi karibuni zinachagiza hoja yangu na hasa katika Jimbo la Kalenga ambapo vyama vya upinzani na hasa CHADEMA kilileta vijana mpaka wa kutoka Arusha ili kuwa mawakala katika kila kituo cha kupigia kura na pia kusimamia zoezi zima la kampeni na uchaguzi. Matokeo yake utakuwa unayafahamu.
Rais Kikwete amewapa kwa sasa wapinzani fursa ya kupata kile walichokuwa wanadhani ndiyo ushindi wa kura za Urais; cha kushangaza wanachofanya kwa sasa ni kutoka nje ya ukumbi unaotambuliwa kisheria katika mchakato wa katiba kwa sababu zao za kufikirika.
Kama hawa jamaa wa kikundi kinachojiita UKAWA, wanadhani suala la katiba litawapa umaarufu wa kisiasa nje ya bunge la Katiba basi sishangai kwa sababu huo ndiyo uwezo wao kifikra katika siasa za Tanzania.
Ukawa majuha kweli zitto wanamuonya kwani anawahusu jamaa nao mitumbwi kwelikweli.
alitaka kutembelea nyota za watu akafie mbali..
Yeye amesema iwapo pande mbili zitakuwa hazijaridhiana hata rudi bungeni, jamani tutulie before doing anythingSasa hapo implication yake nini kamaUkawa haw ataingia Bungeni naye hataingia ama , wewe Umeelewa kinyume ?
Hiyo ukawa bora mngeichemsha mnywe na chai tu kwa maana haina maana hata chembe.
well said.
live long UKAWA