Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

mmemtuma Sita kashindwa,hao viongozi wa dini wameambiwa wapige kimya waelewe kwanza chanzo cha mgogoro

Hakika mkuu na jana dhaifu wao katumia muda mwingi wa hotuba yake kusihi UKAWA warudi halafu mburula wanropoka tu hapa jamvini
 
Sorry kwa mnaovutana, ila mbona mm leo nimemsikiliza zitto asubuhi star tv, jamaa ana point za msingi sana, na ameonyesha kukubaliana na kilichowatoa ukawa bungeni, na hata yule malaya mmoja wa CCM alipoonyesha kubeza zitto alimpinga wazi wazi
 
Zitto inaonekana anawashwa
sana kama siyo kuchanganyikiwa. Jamaa mnafiki na adui wa mabadiliko
tunayoyataka.

Akae mbali na ukawa yetu shenzi big time!!

Huyo ZZK badala azungumzie kamchepuko kake (act) anaangaika na mambo ya wananchi.
 
Over Tz dead bodies can a traitor lead!! one mistake was done in the year 2005 NO MOOOORE! Zile hela za Jack zoka wa TISS bado anagawa eh!! wewe ----------- bei gani!! maanake wengine mshakuwa mafungu ya nyanya sokoni!! Oh my TZ!!!!!!!!!!!!!!!
uzuri ni kwamba ''' MCHEZO WA KUNUNUA NA KUUZA HUFANYWA ZAIDI NA WAFANYABIASHARA''' chaga boys huu ndio weledi wenu. na ukimuona mtu anaongelea sana kuhusu kununua na kununuliwa, basi ni lazima atakuwa ni muhanga wa moja kati ya hayo mawili. najua huwezi kununua mtu(wewe ni fukara) ila sina hakika na bei yako ya mauzo. uko sokoni kwa ujira gani???? funguka dada ili watu walete mahari ukaozeshwe
 
uzuri ni kwamba ''' MCHEZO WA KUNUNUA NA KUUZA HUFANYWA ZAIDI NA WAFANYABIASHARA''' chaga boys huu ndio weledi wenu. na ukimuona mtu anaongelea sana kuhusu kununua na kununuliwa, basi ni lazima atakuwa ni muhanga wa moja kati ya hayo mawili. najua huwezi kununua mtu(wewe ni fukara) ila sina hakika na bei yako ya mauzo. uko sokoni kwa ujira gani???? funguka dada ili watu walete mahari ukaozeshwe
Masaburi!! yako yanalia mbwatambwata!! hatuogopi lolote!! vilaza wakubwa!!
 
Acheni chuki za kijinga, mnaelewa wazi ni jinsi gani Taifa kwa sasa linapitia katika wakati mgumu.

Hamuoni kama hiyo ni sababu tosha ya kutuunganisha na kuweka tofauti zetu pembeni, tupambane na our common enemy na sio sisi kwa sisi.
 
Hoja yang ni kwamba Zito unapita katika wakati mgumu na imeorodhesha matukio! Asipoangalia atapotea kabisa,sasa umbea wangu upo wapi? Punguza mihemko
wewe kubali umejirudi
 
Imethibitika sasa kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Z itto Kabwe(Chadema) ameungana na kundi la wabunge wa BMK wanaotetea msimamo wa maoni ya wananchi yaliyowasilishwa na Mh. Waziri Mkuu mstaafu na Kada wa CCM mh.Joseph,Warioba.

Tofauti na kauli aliyoitoa akihojiwa na moja ya redio inayomilikiwa na kada wa CCM mwishoni mwa mwezi July kuwa "Yeye Hayupo UKAWA, na hajawahi kuwa UKAWA".......Wachambuzi wengi wa mambo wanaona kuwa bado yupo UKAWA kwa hoja zifuatazo;-
1. Wanaukawa wote na wanaomini katika UKAWA wamesusia vikao vyote vya BMK....na Zitto pia
2. Wana UKAWA wote wana amini katika Serikali Tatu na Zitto Pia.
3. Hata kama msimamo wake ni kutaka maridhiano kama wananchi wengi wanavopendekeza, hata wajumbe wa CCM waliowengi akiwemo Mwigulu Nchemba ana msimamo huo na amehudhuria kikao hicho.
4.Kama hayupo UKAWA au pengine kundi lolote kwanini basi maoni yake yafanane sana na ya UKAWA...coincidence? superiority complex?
The great concern remains whether this, once the most influential MP especially among youth from opposition is just testing the political winds so that he could change his mind and rejoins the Tanzania Kwanza is not clear.....but as far as the political situation of the country stands Zitto follows UKAWA ideology.
As it is clearly known that being part of UKAWA does not lie on the question of paper registration but the belief in UKAWA ideology.
Some analysts goes one step further arguing that even Leticia Nyerere (CHADEMA), and Clara(CUF) were also the member of UKAWA, but since they have joined hand with the rulling Party to betray the Wananchi Opinions have Clearly dis-register themselves from the same.

Swali linabaki, kinachomnyima kijana huyo msomi na mwenye ushawishi kutamka tu kuwa anaungana na UKAWA kutetea katiba ya wananchi ni nini, ikizingatiwa kuwa kimtazamo na kimsimamo yupo UKAWA.


 
Imethibitika sasa kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Z itto Kabwe(Chadema) ameungana na kundi la wabunge wa BMK wanaotetea msimamo wa maoni ya wananchi yaliyowasilishwa na Mh. Waziri Mkuu mstaafu na Kada wa CCM mh.Joseph,Warioba.

Tofauti na kauli aliyoitoa akihojiwa na moja ya redio inayomilikiwa na kada wa CCM mwishoni mwa mwezi July kuwa "Yeye Hayupo UKAWA, na hajawahi kuwa UKAWA".......Wachambuzi wengi wa mambo wanaona kuwa bado yupo UKAWA kwa hoja zifuatazo;-
1. Wanaukawa wote na wanaomini katika UKAWA wamesusia vikao vyote vya BMK....na Zitto pia
2. Wana UKAWA wote wana amini katika Serikali Tatu na Zitto Pia.
3. Hata kama msimamo wake ni kutaka maridhiano kama wananchi wengi wanavopendekeza, hata wajumbe wa CCM waliowengi akiwemo Mwigulu Nchemba ana msimamo huo na amehudhuria kikao hicho.
4.Kama hayupo UKAWA au pengine kundi lolote kwanini basi maoni yake yafanane sana na ya UKAWA...coincidence? superiority complex?
The great concern remains whether this, once the most influential MP especially among youth from opposition is just testing the political winds so that he could change his mind and rejoins the Tanzania Kwanza is not clear.....but as far as the political situation of the country stands Zitto follows UKAWA ideology.
As it is clearly known that being part of UKAWA does not lie on the question of paper registration but the belief in UKAWA ideology.
Some analysts goes one step further arguing that even Leticia Nyerere (CHADEMA), and Clara(CUF) were also the member of UKAWA, but since they have joined hand with the rulling Party to betray the Wananchi Opinions have Clearly dis-register themselves from the same.

Swali linabaki, kinachomnyima kijana huyo msomi na mwenye ushawishi kutamka tu kuwa anaungana na UKAWA kutetea katiba ya wananchi ni nini, ikizingatiwa kuwa kimtazamo na kimsimamo yupo UKAWA.



Mkuu how nice would be if you could directly ask him!
 
Hv msipomuongelea Zito iwe kwa mabaya au mazuri huwa hampati usingizi?

Duh! Ni hatari... hata kama ni mahaba au chuki zisi izi tuu machi.
 
Back
Top Bottom