comments za kimbea, kifo cha mama yake kinahusiana vipi na tamko lake?Ukiona manyoya ujue kashaliwa. Zito yupo katika wakati mgumu mno,ndani ya mwaka huu kampoteza Mama yake na ni mwaka huu huu anajikuta anapoteza haiba yake aliyoijenga kwa jasho na damu na ushirikina mwingi.
Rejea: kauli yake ya "panya".