Msimamo wa Eric Shigongo kwa maazimio ya bunge la Umoja wa Ulaya(EU)

Basi kwa kuwa wengi wetu tunapiga kelele kwenye hilo azimio moja la Ushoga na mengine tumekaa kimya, inaonesha hayo mengine hayana neno hivyo basi tuachane na hilo la ushoga kisha tufanye hayo mengine 14 kwa kuwa naona kama tunayakubali ndio maana wala hatuyazungumzii kabisa

Wapo wajanja huko CCM wanajidai wapo nyuma ya magufuli kumbe wana ajenda za siri, wapo busy kumjaza hasira na kumchochea zaidi aongeze unyanyasaji kwa Wapinzani ili aendelee kuchokozana na wazungu hali iwe tete ndipo ajenda zao zitimie
 
kila anayekuja na utetezi anakuja wa jumla bila kufafanua kimoja baada ya kingine, zaud zaid ni ushoga tuu ndio hugusiwa .

hiv yale mengine bado mngependa yaendelee kufanywa na serikali??
 
Huwezi kwenda kushibisha kwa jirani nakati wewe mwenyewe hujashibisha nyumbani kwako.

Msidanganyike kabisa na hayo Mabepari yaliyotufikisha hapa zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Sanasana yanawafanyia timing tu ili yazidi kutunyonya rasilimali zetu.

Tusijidanganye kuwa EU na USA ndiyo wa kutujengea hii nchi, tufunge mikanda zaidi ya uvumilivu lakini kwa baadaye mambo yatakaa sawa tu maana hakuna kilicho chepesi katika mafanikio ya jambo lolote kimaisha hapa duniani.

Sincerely Magufuli reinforce it by any hardness situation we pass through it doesn't matter coz evey successful way must capable of challenges, and the treatment to any problem is not only running away rather than facing it efficiently and effectively.
Kumbuka wakati wananchi na wafanyabiashara watakua na maisha magumu hao watawala wanakula bata .
Mishahara yao iko juu . Hawalipi kodi. Mishahara yao kwa mwezi haipungui mil. 7 ,sawa na mtaji wa mfanyabiashara wa kati ambaye analipa kodi zote na tozo za kila aina ili tu watawala wakalie viti bila maono.

Katika Waraka wa maazimio ya EU sijaona mahali walipopinga vita dhidi ya ufisadi, hakuna walipopinga kutumbuliwa kwa wafanyakazi hewa, hakuna walipopinga wenye vyeti feki. Hakuna walipopinga usanii wa mawaziri kuingia mikataba isiyo na tija kwa Taifa.

Wamewasemea wanyonge wasio na pa kukimbilia mana Bunge letu limekaa kimya juu ya watu wanaopotea.Bunge letu wakati linaisulubu serikali ya awamu ya NNE walifanya vile kwa sababu ya Demokrasia sio kwa sabu yoyote mana walishindwa kuweka sheria bora za Kulinda rasilimali zetu. Sasa kama rasilimali zinalindwa kwa nini haki na uhai wa watu upuuzwe.

Hivi hamuoni kuwa Bila kuwaunganisha watanzania wote wanaokosoa na wanaokosewa hata amani ya nchi itakua mashakani ?
Kwa nini mnaangalia tu upande mmoja na kutumia vibaya rasilimali za nchi kwa kuwaumiza wengine kwa manufaa ya kikanda zaidi na si kitaifa kama. Haki za Binadamu ni hata za kichaa lakini Ndege ni kwa ajili ya wenye maisha bora.
Haki za binadamu zinawahusu watu wote hata wasio na viungo lajini Treni ni matokeo pia ya ukoloni?
Kwa nini kwenye hayo yanayoitwa maendeleo tunawaiga mabepari na mbinu zao za kikandamizi katika kodi na utawala wa lakini katika haki za binadamu na Demokrasia inayohatarisha madaraka ya marafiki na ndugu zenu kwenye sanduku la kura mnaakataa ushauri wa hao wazungu na kuwaita wanyonyaji wakati kwa sasa wanyonyaji ni hao walio na maisha bora lakini wanangangania madaraka kwa nusu karne wakati wameshindwa kuwafanya watu wa chini waishi hata kwa robo ya wanavyoishi wao!!

Wazungu wanawapa taahadhari juu ya yale yajayo mana wao ndio waasisi wa kile tunachokiona leo chini ya mfumo wa Kirumi.
 
Huwezi kwenda kushibisha kwa jirani nakati wewe mwenyewe hujashibisha nyumbani kwako.

Msidanganyike kabisa na hayo Mabepari yaliyotufikisha hapa zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Sanasana yanawafanyia timing tu ili yazidi kutunyonya rasilimali zetu.

Tusijidanganye kuwa EU na USA ndiyo wa kutujengea hii nchi, tufunge mikanda zaidi ya uvumilivu lakini kwa baadaye mambo yatakaa sawa tu maana hakuna kilicho chepesi katika mafanikio ya jambo lolote kimaisha hapa duniani.

Sincerely Magufuli reinforce it by any hardness situation we pass through it doesn't matter coz evey successful way must capable of challenges, and the treatment to any problem is not only running away rather than facing it efficiently and effectively.
Watu wengine wakiwa na ka mtaji ka sh milioni kumi wanafikiri kwa madafu yetu haya eti nayo ni pesa. Wanaanza kuropoka ropoka ovyo wakati hawajui hata bajeti ya nchi hii inakuwa financed how. Bogus kabisa.
 
Utekwaji wa watu!!kukatwa mafao,kufugwa ovyoovyo wapinzani!!unasimama nae,nawe pia katili
 
You don't have moral authority to talk of such serious issues while you are a dick monger!
Sijui nikupe likes ngapi??? Huyu anayepromote ushoga kwenye vigazeti vyake kwa kuwaweka front page kina James D ndo anapinga ushoga hivyo? Halafu masuala mengine makubwa siyo ya kujadiliwa na mtu wa Udaku kama Shigongo. Yeye adeal na bifu la Diamond na Ali Kiba ndo size yake.
 
Wapumbavu km ninyi mnaojidai hamna njaa kumbe makapuku wakubwa.unaiombea nchi yako ipate matatizo wewe kapuku utahamia wp? Huna hata uwezo wa kujihudumia wewe mwezi mzima.leo unabwabwaja na kuiombea nchi ipate matatizo.huna familia? Huna baba wala mama?!! Km unao utawapeleka wp nchi ikivurugika.huna hata uwezo wa kwenda kuishi nje ya nchi!!!. Nchi yako ikipata matatizo wewe utapata faida gn?!!
Kuna watu vichwani unaona ni weupe kabisa. Mtu anaongea utadhani sio mtanzania na hana ndugu yyt yule.
 
Huwezi kwenda kushibisha kwa jirani nakati wewe mwenyewe hujashibisha nyumbani kwako.

Msidanganyike kabisa na hayo Mabepari yaliyotufikisha hapa zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Sanasana yanawafanyia timing tu ili yazidi kutunyonya rasilimali zetu.

Tusijidanganye kuwa EU na USA ndiyo wa kutujengea hii nchi, tufunge mikanda zaidi ya uvumilivu lakini kwa baadaye mambo yatakaa sawa tu maana hakuna kilicho chepesi katika mafanikio ya jambo lolote kimaisha hapa duniani.

Sincerely Magufuli reinforce it by any hardness situation we pass through it doesn't matter coz evey successful way must capable of challenges, and the treatment to any problem is not only running away rather than facing it efficiently and effectively.
Shule ya kata inahusika hapa,by the way kwani zaidi ya ushoga kuna lipi la uwongo walilosema kwenye agenda zao??
 
Nimesoma barua ya maazimio 15 ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Union) kwa serikali yetu ya Tanzania. Maazimio hayo yanabeba masharti magumu kwa sababu kwenye barua yao wanazungumzia ushoga. Lakini pia kuna mambo ya mengine yametajwa kwenye maazimio hayo kama demokrasia na kutetereka kwa Haki za Binadamu.

Tayari Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amesema kama nchi tutapita kwenye wakati mgumu kidogo kwani tutakosa ushirikiano kutoka kwa wahisani kutokana na msimamo wetu.

Mimi nasimama na rais wetu, Dk. John Pombe Magufuli kuyapinga maazimio hayo kwani inaonesha wazi yamekuja kutokana na msimamo wake thabiti juu ya usimamizi wa rasilimali zetu.

Ndiyo, ni kutokana na msimamo wake juu ya rasilimali zetu kuanzia rais wetu alipozuia mchanga wa dhahabu (makinikia) na kudhibiti Tanzanite, lakini kamwe hatutakubali kuburuzwa na tutaendelea kusimamia mila na desturi zetu.

Tunajua hii ni vita ya kiuchumi na kama taifa tunatakiwa kutumia akili nyingi na siyo nguvu, tupo tayari kuungana na rais wetu kwa kutumia akili zetu nyingi tulizonazo. Tuamini kwamba tunaweza bila hata kuwategemea hao wahisani wenye masharti magumu na yasiyotekelezeka.
"KUSIMAMIA RASILIMALI" Ikiwamo rasilimali FEDHA TRION 1:3 😂😂😂SHAME ON YOU SHIGO.......😅😅😅

2020 TWENDE NA BENARD KAMILIUS MEMBE
 
"fighting untill the last cell"
Askari mwoga sana wewe! Unajipa moyo nyuma ya keyboard tu huna msaada! Unapigania nini na unapigana na nani ilihali umelia hali ya uchumi ni mbaya baada ya wanaokuchangia kuleft group? Miayo ni ugonjwa na unaua haraka sana, wahi hosptal kwa dr Smith!
 
Mjinga wa kudumu wewe. Ningekuheshimu kama ungesema umekerwa na ushoga ambao upo tena ndani ya chama chako.

Masuala ya democrasia na usalama wa raia, baadhi tu huoni kabisa kama ni hatari kwa sababu ya njaa zako. Mko wengi maana chama chenu kimefanikiwa sa kuzalisha wajinga kwa elimu ya kijinga.

Ni aibu shigongo kupenyeza njaa na ujinga wake humu pengine alidhani atapata wengi wa kumuunga mkono , sasa nadhani anajutia kuja na huo msimamo wake wa kishamba shamba.
 
SHIGONGO ana tuhuma nzito za kufirana na mashoga mpaka wengine akawapangishia vyumba pale sinza!!! Sijui ni kwanini watu wengi wanaopinga ushoga nao huwa ni mashoga!!!!??????? Nashangaa sana.

Kiranga hebu nisaidie hapa... inakuwaje?
Anasema wazungu hawana cha kutuendeleza wakati kila kitu anachotumia ni cha mzungu hahaha Tz haina hata kiwanda cha toothpicks.... bado tunajitia vichwa ngumu.
 
Back
Top Bottom