Nitajulikana
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 328
- 355
Hahahaaaaah! Nimecheka mpaka Nina kiu ya kunywa maji!!!Shigongo alipoenda Lumumba kudai pesa zake za kuchapisha T-shirts&Kofia za CCM kipindi cha uchaguzi 2015 hilo ndilo jibu alilopewa:
Mwanangu Erick kunywa maji haya upunguze machungu-By Zakia Meghi.