Msimamo wa Eric Shigongo kwa maazimio ya bunge la Umoja wa Ulaya(EU)

Simama nae hvo hvo.. Magazeti yakianza kudoda Sana ubaki huko huko...
Nimesoma barua ya maazimio 15 ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Union) kwa serikali yetu ya Tanzania. Maazimio hayo yanabeba masharti magumu kwa sababu kwenye barua yao wanazungumzia ushoga. Lakini pia kuna mambo ya mengine yametajwa kwenye maazimio hayo kama demokrasia na kutetereka kwa Haki za Binadamu.

Tayari Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amesema kama nchi tutapita kwenye wakati mgumu kidogo kwani tutakosa ushirikiano kutoka kwa wahisani kutokana na msimamo wetu.

Mimi nasimama na rais wetu, Dk. John Pombe Magufuli kuyapinga maazimio hayo kwani inaonesha wazi yamekuja kutokana na msimamo wake thabiti juu ya usimamizi wa rasilimali zetu.

Ndiyo, ni kutokana na msimamo wake juu ya rasilimali zetu kuanzia rais wetu alipozuia mchanga wa dhahabu (makinikia) na kudhibiti Tanzanite, lakini kamwe hatutakubali kuburuzwa na tutaendelea kusimamia mila na desturi zetu.

Tunajua hii ni vita ya kiuchumi na kama taifa tunatakiwa kutumia akili nyingi na siyo nguvu, tupo tayari kuungana na rais wetu kwa kutumia akili zetu nyingi tulizonazo. Tuamini kwamba tunaweza bila hata kuwategemea hao wahisani wenye masharti magumu na yasiyotekelezeka.
 
Elimu ni muhimu sana kwenye mambo kama haya! Hili ni suala LA Kidiplomasia ndio maana hata magwiji was diplomasia wamekaa kimya sasa sijui huyu anadhani ni mambo ya Kiu,Ijumaa weekend, au Risasi!! Kukosa Elimu ni Kitu kibaya MNO
Shigongo ni kilaza na mbumbumbu Fulani hajielewi
 
Nimesoma barua ya maazimio 15 ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Union) kwa serikali yetu ya Tanzania. Maazimio hayo yanabeba masharti magumu kwa sababu kwenye barua yao wanazungumzia ushoga. Lakini pia kuna mambo ya mengine yametajwa kwenye maazimio hayo kama demokrasia na kutetereka kwa Haki za Binadamu.

Tayari Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amesema kama nchi tutapita kwenye wakati mgumu kidogo kwani tutakosa ushirikiano kutoka kwa wahisani kutokana na msimamo wetu.

Mimi nasimama na rais wetu, Dk. John Pombe Magufuli kuyapinga maazimio hayo kwani inaonesha wazi yamekuja kutokana na msimamo wake thabiti juu ya usimamizi wa rasilimali zetu.

Ndiyo, ni kutokana na msimamo wake juu ya rasilimali zetu kuanzia rais wetu alipozuia mchanga wa dhahabu (makinikia) na kudhibiti Tanzanite, lakini kamwe hatutakubali kuburuzwa na tutaendelea kusimamia mila na desturi zetu.

Tunajua hii ni vita ya kiuchumi na kama taifa tunatakiwa kutumia akili nyingi na siyo nguvu, tupo tayari kuungana na rais wetu kwa kutumia akili zetu nyingi tulizonazo. Tuamini kwamba tunaweza bila hata kuwategemea hao wahisani wenye masharti magumu na yasiyotekelezeka.
Shigongo yupi?aliyekua analilia ovyo ovyo kutia huruma kwa vijiflana alivotoa wakati wa uchaguzi alipwe bila LPO! Hivi washamlipa?
Magazeti yake yenyewe hayanunuliki....aende akaangaike na mikopo yake iliyomshinda. Mwakani atauza kila kitu ajipange.
 
Sincerely Magufuli reinforce it by any hardness situation we pass through it doesn't matter coz evey successful way must capable of challenges, and the treatment to any problem is not only running away rather than facing it efficiently and effectively.
Mdogo wangu umeandika kizungu cha ndani ndani sana....itakua ulisoma mido skull na ulikua mkali wa debate
 
We simama naye tu atakopokuinamisha usije tena kutulilia humu jukwaani.
Vipi Mkwanja wako ulishalipwa maana siyo kwa kusimama naye huko..
 
Nimesoma barua ya maazimio 15 ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Union) kwa serikali yetu ya Tanzania. Maazimio hayo yanabeba masharti magumu kwa sababu kwenye barua yao wanazungumzia ushoga. Lakini pia kuna mambo ya mengine yametajwa kwenye maazimio hayo kama demokrasia na kutetereka kwa Haki za Binadamu.

Tayari Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amesema kama nchi tutapita kwenye wakati mgumu kidogo kwani tutakosa ushirikiano kutoka kwa wahisani kutokana na msimamo wetu.

Mimi nasimama na rais wetu, Dk. John Pombe Magufuli kuyapinga maazimio hayo kwani inaonesha wazi yamekuja kutokana na msimamo wake thabiti juu ya usimamizi wa rasilimali zetu.

Ndiyo, ni kutokana na msimamo wake juu ya rasilimali zetu kuanzia rais wetu alipozuia mchanga wa dhahabu (makinikia) na kudhibiti Tanzanite, lakini kamwe hatutakubali kuburuzwa na tutaendelea kusimamia mila na desturi zetu.

Tunajua hii ni vita ya kiuchumi na kama taifa tunatakiwa kutumia akili nyingi na siyo nguvu, tupo tayari kuungana na rais wetu kwa kutumia akili zetu nyingi tulizonazo. Tuamini kwamba tunaweza bila hata kuwategemea hao wahisani wenye masharti magumu na yasiyotekelezeka.
Kweli kuna watu na viatu
 
"Dk. Philip Mpango amesema kama nchi tutapita kwenye wakati mgumu kidogo kwani tutakosa ushirikiano kutoka kwa wahisani kutokana na msimamo wetu"

Mmshauri raisi (before its too late) hatuwezi kushinda vita ya fitina na wa zungu hata siku moja kumweka MBowe jela, halina faida kwa Taifa kuwinda ma shonga sio mantiki kabisa.........nk. tutafuta approach mpya kabisa bila kuitangaza kwa ajiri ya kiki za kisiasa
Mkuu usisahau kabisa na kitendo cha kuwatimua wanunuzi wa nje wa mazao kama korosho kimezidi kutufanya tukose fedha za kigeni tubakie na za madafu
 
Kuunga uovu wa kipngozi wako siyo uzalendo. Uzalendo ni kumpinga mtu yeyote, hata kama ni kiongozi, kama mtu huyu anakiuka katiba na kuliangamiza Taifa kwa kuliingiza kwenye shida pasipo ulazima.

Hivi anayetetea watu wasiuawe na yule anayeua, ni nani mzalendo?

Anayesema watu wasitekwe na kupotezwa na yule anayeteka na kupoteza watu, ni nani mzalendo?

Anayesema watu waoneshwe live bunge lao ili wananchi wawaone na kuwasikia wawakilishi wao, na yule anayesema ni marufuku wananchi kuona au kusikia wanachojadili wawakilishi wao bali wamwone na kumsikia yeye tu ni nani mzalendo?

Anayesema, heshimuni katiba yenu, na yule anayekanyaga katiba aliyoapa kuilinda, ni nani mzalendo?

Kama una akili na uelewa, na huongozwi na unafiki, EU na US waneonesha uzalendo kwa Taifa letu, kuliko serikali yetu.
 
Huwezi kwenda kushibisha kwa jirani nakati wewe mwenyewe hujashibisha nyumbani kwako.

Msidanganyike kabisa na hayo Mabepari yaliyotufikisha hapa zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Sanasana yanawafanyia timing tu ili yazidi kutunyonya rasilimali zetu.

Tusijidanganye kuwa EU na USA ndiyo wa kutujengea hii nchi, tufunge mikanda zaidi ya uvumilivu lakini kwa baadaye mambo yatakaa sawa tu maana hakuna kilicho chepesi katika mafanikio ya jambo lolote kimaisha hapa duniani.

Sincerely Magufuli reinforce it by any hardness situation we pass through it doesn't matter coz evey successful way must capable of challenges, and the treatment to any problem is not only running away rather than facing it efficiently and effectively.
Wewe utakuwa Toto la juzijuzi hujui madhila tuliyopita tukiwa na JKN .Suala la kufunga mikanda wewe soma tu kwenye historia .Halafu kwanini watanzania tufunge mikanda kwa ajili ya kumpaisha jiwe kisiasa?
 
Nimesoma barua ya maazimio 15 ya Bunge la Umoja wa Ulaya (European Union) kwa serikali yetu ya Tanzania. Maazimio hayo yanabeba masharti magumu kwa sababu kwenye barua yao wanazungumzia ushoga. Lakini pia kuna mambo ya mengine yametajwa kwenye maazimio hayo kama demokrasia na kutetereka kwa Haki za Binadamu.

Tayari Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amesema kama nchi tutapita kwenye wakati mgumu kidogo kwani tutakosa ushirikiano kutoka kwa wahisani kutokana na msimamo wetu.

Mimi nasimama na rais wetu, Dk. John Pombe Magufuli kuyapinga maazimio hayo kwani inaonesha wazi yamekuja kutokana na msimamo wake thabiti juu ya usimamizi wa rasilimali zetu.

Ndiyo, ni kutokana na msimamo wake juu ya rasilimali zetu kuanzia rais wetu alipozuia mchanga wa dhahabu (makinikia) na kudhibiti Tanzanite, lakini kamwe hatutakubali kuburuzwa na tutaendelea kusimamia mila na desturi zetu.

Tunajua hii ni vita ya kiuchumi na kama taifa tunatakiwa kutumia akili nyingi na siyo nguvu, tupo tayari kuungana na rais wetu kwa kutumia akili zetu nyingi tulizonazo. Tuamini kwamba tunaweza bila hata kuwategemea hao wahisani wenye masharti magumu na yasiyotekelezeka.
Wamechemsha maazimio yao yameandikiwa Ufipani.Rais wetu hawezi kupangiwa na mabeberu namna ya kuilinda katiba.
 
"Dk. Philip Mpango amesema kama nchi tutapita kwenye wakati mgumu kidogo kwani tutakosa ushirikiano kutoka kwa wahisani kutokana na msimamo wetu"

Mmshauri raisi (before its too late) hatuwezi kushinda vita ya fitina na wa zungu hata siku moja kumweka MBowe jela, halina faida kwa Taifa kuwinda ma shonga sio mantiki kabisa.........nk. tutafuta approach mpya kabisa bila kuitangaza kwa ajiri ya kiki za kisiasa
Mbowe yuko ndani kwa dharau zake kwa mahakama. Lazima aheshimu sheria za nchi aliitwa mahakamani akakataa akaamua kutii wito wa EU kule ubeligiji.
 
Unajua aliyekuwa raisi wa South Africa,Jacob Zuma angekuwa ni raisi wa Tanzania ,kwa tiketi ya CCM,angekuwa na watetezi kibao,mpaka sasa hivi as ingekuwa impeached ,na wala asingeshtakiwa.Hichi chama ndio Tatizo kwa maendeleo ya hii nchi!
 
Mnapoua wananchi wenzenu mnajiona miungu watu hamuambiliki mkabana na wakubwa mnalilia wale wale mnaowafunga jela wawasaidie kama si upumbaf ninini
Let the speak because they have to say something.Masuala ya kuingilia mamlaka ya nchi Fulani ni umbumbu kwa sababu they are economical powerful.Km Taifa jambo hili si la kushabikia km tunavofanya.Ni jambo la kupiga vita kwa kuwa tunaelewa madhara yake kwa km kilichotokea Libya
 
Mdogo wangu umeandika kizungu cha ndani ndani sana....itakua ulisoma mido skull na ulikua mkali wa debate
Haha hahaaaaa....! Mkuu unaua kwa kunivisha kilemba cha ukoka, mbona hata hivyo bado tu nimechapia sana Kaka?

Mfano hapo must capable of challenges nimeacha BE of ambayo ilitakiwa kuwepo ndipo iweze kuleta maana halisi ya sentensi husika?
 
Back
Top Bottom