Tulisema Tundu Lissu ni debe tupu ,unaweza kuwa mwanasheria mzuri lakinikama huna busara basi unakuwa debe tupu sasa karukia kuwa Kikwete na Mkapa washitikiwe kwa kosa gani hao walisaini mikataba kwa kuwaamini akina Chenge na timu yake hao ndio walikuwa wakitayarisha mikataba na sio Mh Mkapa wala Kikwete ,hawa waliwaamini sana akina Chenge kumbe akina Chenge wanaitumia elimu yao kuwaibia walewale waliowawezesha.Halafu Lissu alivyo muongo anadai kamati zote zanyuma zimefanya kile kamati ya akina Osoro na Mruma imekifanya sijui kipi na wapi hizo kamati zilisema tunaibiwa makinikia ,kwa hiyo tunaibiwa ,wapi iliwataja wahusika wakuu wa mikataba hiyo,uchunguzi wa kitaalamu waliufanya kama sio kwenda kutalii tu nchi za watu