Alituongoza lowasa ktk ujinga huu na sasa anawaongoza nyinyi kwenye huo ujinga.Wewe ndiyo kilaza wa mwisho kabsa Duniani Kumbuka huyo mmiliki kaja kuandaa mkutano wa majadiliano wakishakubaliana ndipo wataitengua mikataba ya zamani mibovu iliyopo iliyopitishwa na CCM wenzako wajinga kama wewe gulio la wajinga lipo CCM kwani bila wao ujinga huu usingekuwa unajadiliwa leo.
Mi nahama CHADEMA!
katika taifa letu wasomi wanasheria nguli ni watatu tu. lissu, chenge na kibatala. wengine hao ni wachumia tumbo tu.Tundu lisu ni msomi ambaye hajaelimika!wasomi hawapayuki
Kwani haiwezekani kua na wazazi wajinga? we vipi ... kweli mzazi ni mtu muhimu na wakuheshimika sana kijamii laki anaweza kuwa chizi vilevile ...Ukisema ccm wajinga mpka wazazi wako n wajinga
Lisu hajelimika, ni kweli ni msomi!katika taifa letu wasomi wanasheria nguli ni watatu tu. lissu, chenge na kibatala. wengine hao ni wachumia tumbo tu.
Adios., kama chadema ndo walishiriki kwenye kujibu ndiooooo na kusaini mikataba hio sawaa., mmelikoroga wenyewe sasa hivi mnatafuta pa kutupa lawama teh tehMi nahama CHADEMA!
Sio hao tu hata wewe tutakupokea siku si nyingi. Ngoja movie hii ipite. Wakati wakujenga Tanzania yakweli huna namna utakuja tu kutubu ndugu yangu mpendwa. Huku kwetu sisi hatuna muda wakuwachezeshea Watz sinema bali ni maendeleo yakweli.Magufuli ndiyo kila kitu, kasome post ya MPENDAZOE(Chadema wangemaanisha wasingewapokea Majizi pala-LOWASSA, SUMAYE n.k)
nimeamini kulindana ni sera ya viongozi wa afrika. kwa kauli hii ya leo yq jpm sina imani naye kamwe.
lisu aliongea kulingana na mikataba iliyochongwa na CCM inavyowapa mamlaka ya kuokota kila kitu, Tambua lisu hajawatetea wazungu yy alikuwa akilia na sheria mbovu zilizopitishwa na CCM Subiria majadiliano wazungu si wajinga wamependekeza majadiliano ili wapate kuwabana huko huko.
Wewe huwezi kuuona umuhimu na maana ya uwepo wa CDM, ni kwa sababu unawapinga kwa gharama zozote. Lakini zaidi ya nusu ya WaTz wawakubali na wako tayari kuwachagua kama hakuna mizengwe.na wahusika wengine wamekimbilia chadema....hahahahaha yaani chadema mnachekesha sanaaa...Dk slaa peke yake ndio mtu nimemuona ana akili kati ya waliokua viongozi wote wa chadema...achilia mbali wafuasi wa chadema ambao wanaenda na mihemko tu bila kutafakari (T lisu na Lema ni mifano halisia) sijawahi shabikia ccm ila magufuli nimemkubali
ni mtazamo wako finyu tu.Lisu hajelimika, ni kweli ni msomi!
ungeweza kuishia "ni mtazamo wako..."ni mtazamo wako finyu tu.
Una maana kuwa sisi ndo wajinga au. Lisu alitutisha tutashtakiwa hapo ndo alionekana bwege na kila mtanzania akamdharaulisu aliongea kulingana na mikataba iliyochongwa na CCM inavyowapa mamlaka ya kuokota kila kitu, Tambua lisu hajawatetea wazungu yy alikuwa akilia na sheria mbovu zilizopitishwa na CCM Subiria majadiliano wazungu si wajinga wamependekeza majadiliano ili wapate kuwabana huko huko.
Endelea kuamini hivyo mkuu, wakati Lissu analazishwa kula matapishi yakekatika taifa letu wasomi wanasheria nguli ni watatu tu. lissu, chenge na kibatala. wengine hao ni wachumia tumbo tu.
Umechelewa sana.Mi nahama CHADEMA!