Msimamo wa CHADEMA waparaganyika

Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Harufu ya kuvimbiwa unaandika usichokijua.

Kwa taarifa yako serikali na Magu wenu mlikurupuka kufanya uharamia badala ya mazungumzo.

Halipwi mtu hapa. Wizi Gano umefanyika na muwekezaji wakati sheria yenu na mikataba ya siri mlimhalalishia kuwa kola kitu ni chake.

Umeshauriwa tafuta maarifa yakusaidie uchambuzi uache kuchamba wima nyaa itakuchafua makalio na mapaja
 
Harufu ya kuvimbiwa unaandika usichokijua.

Kwa taarifa yako serikali na magu wenu mlikurupuka kufanya uharamia badala ya mazungumzo.

Halipwi mtu hapa. Wizi Gano umefanyika na muwekezaji wakati sheria yenu na Mikasa ya sori mlimhalalishia kuwa kola kit no chake.
Mzimu wa lowassa hauwezi kumwacha Tundu salama, amebaki kuwa hovyo kadri siku zinavyokwenda.
19059113_139624059929874_7069137099360747127_n.jpg
 
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
mkuu, hakuna tofauti kati ya alichoongea Lissu na Lowasa.

kama ulimsikiliza vizuri Lowasa alitoa a thinly veiled barb kwa Magufuli/CCM. tofauti na Lissu ambaye yeye ana-hit kwenye bull moja kwa moja bila kuremba!
 
lisu aliongea kulingana na mikataba iliyochongwa na CCM inavyowapa mamlaka ya kuokota kila kitu, Tambua lisu hajawatetea wazungu yy alikuwa akilia na sheria mbovu zilizopitishwa na CCM Subiria majadiliano wazungu si wajinga wamependekeza majadiliano ili wapate kuwabana huko huko.
Ww Kweli Funza
 
Harufu ya kuvimbiwa unaandika usichokijua.

Kwa taarifa yako serikali na Magu wenu mlikurupuka kufanya uharamia badala ya mazungumzo.

Halipwi mtu hapa. Wizi Gano umefanyika na muwekezaji wakati sheria yenu na mikataba ya siri mlimhalalishia kuwa kola kitu ni chake.

Umeshauriwa tafuta maarifa yakusaidie uchambuzi uache kuchamba wima nyaa itakuchafua makalio na mapaja
Mkuu una hasira za mkizi!!!
Kila mtu aasema lake, Lowassa anamwaga sifa , Lissu anajiharishia mara awasute watanzania , mara atafute data, sasa hana cha kuongea ka ukuwadi wake,
Na wewe endelea kukaa mlango wazi wakati serikli inaongea na mwizi aliyekubali kuturudishia chetu.
 
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.

Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.

Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.

Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.

Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.

Wakati unaandika haya ulikuwa umekalia dole ama?
 
Mzimu wa lowassa hauwezi kumwacha Tundu salama, amebaki kuwa hovyo kadri siku zinavyokwenda.
19059113_139624059929874_7069137099360747127_n.jpg
Sijapata kuona mbunge mpuuzi kama wewe! Sasa wazungu wamesema majadiliano kulingana na mikataba sasa huko ni Ku surrender? Hiyo mikataba itabadilika walipe tofauti? Kama ni usajili wa jina tutaambulia hela hazizidi bilioni 5 sasa mjanja Nani hapo?
Tunategemea nyinyi wenye access ya kusoma makabrasha mje na hoja maridhawa kuliko maandazi kama hizi. Lissu bado yuko sahihi na tutaaibika kama nchi kwa ajili ya upumbavvu wenu wa ndiyoooo!
 
Sijapata kuona mbunge mpuuzi kama wewe! Sasa wazungu wamesema majadiliano kulingana na mikataba sasa huko ni Ku surrender? Hiyo mikataba itabadilika walipe tofauti? Kama ni usajili wa jina tutaambulia hela hazizidi bilioni 5 sasa mjanja Nani hapo?
Tunategemea nyinyi wenye access ya kusoma makabrasha mje na hoja maridhawa kuliko maandazi kama hizi. Lissu bado yuko sahihi na tutaaibika kama nchi kwa ajili ya upumbavvu wenu wa ndiyoooo!
Actually, tundu amethibitisha ni mwanasheria wa hovyo kuwahi kutokea.
19059113_139624059929874_7069137099360747127_n.jpg
 
Si mlisema ni watuhumiwa madini yetu....mmewaita tena ikulu kuzungumza nao...kumbe kweli nimeamini Lissu anaakili na ajua sana tulipoteleza kwenye mikataba yetu na hawa wawekezaji, Lissu amesema tukiwaletea za kuleta wanatushtaki na tutapoteza sisi badala ya wao na hilo ni kweli ndo maana tumewakaribisha tuzungumze - una zungumza na mtu uliye tangaza amekuibia!!
 
Na huu ndiyo upumbavu mkubwa eti msimamo wa chama. Kila mmoja atumie akili yake ktk mambo haya ya kitaifa. Kumbe maneno ya ajabu ajabu humu ni kwasababu ya msimamo wa chama. Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom