gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Achana na mbururaz wa ccm huyoHama hata Dk hii yaani wewe unahama kisa wizi tokea 1998 umebarikiwa na CCM leo hii magufuli katekeleza kilio cha Wapinzani unahama chama?
Achana na mbururaz wa ccm huyoHama hata Dk hii yaani wewe unahama kisa wizi tokea 1998 umebarikiwa na CCM leo hii magufuli katekeleza kilio cha Wapinzani unahama chama?
Harufu ya kuvimbiwa unaandika usichokijua.Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.
Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.
Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.
Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.
Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Mzimu wa lowassa hauwezi kumwacha Tundu salama, amebaki kuwa hovyo kadri siku zinavyokwenda.Harufu ya kuvimbiwa unaandika usichokijua.
Kwa taarifa yako serikali na magu wenu mlikurupuka kufanya uharamia badala ya mazungumzo.
Halipwi mtu hapa. Wizi Gano umefanyika na muwekezaji wakati sheria yenu na Mikasa ya sori mlimhalalishia kuwa kola kit no chake.
Katawadhe shombo hilo tazama upya ulichoninukuuMzimu wa lowassa hauwezi kumwacha Tundu salama, amebaki kuwa hovyo kadri siku zinavyokwenda.
Nami nafuatiaMimi pia
unavuuta mdomo, dah...leo hautalala...pole sana dogo, hao 'mabwana' zenu waliokuwa wamewaajiri sasa wamekaa chini. Muulize Tundu MIGA ndio nini vile?Katawadhe shombo hilo tazama upya ulichoninukuu
Kumbe bado ulikuwepo humo? Hama fasta ndugu yangu usije ukaangukiwa na jumba bovu.Mi nahama CHADEMA!
mkuu, hakuna tofauti kati ya alichoongea Lissu na Lowasa.Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.
Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.
Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.
Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.
Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Huyu Jamaa akili zake anazijua mwenyewe,Au anavuta sigara kuu?
Ww Kweli Funzalisu aliongea kulingana na mikataba iliyochongwa na CCM inavyowapa mamlaka ya kuokota kila kitu, Tambua lisu hajawatetea wazungu yy alikuwa akilia na sheria mbovu zilizopitishwa na CCM Subiria majadiliano wazungu si wajinga wamependekeza majadiliano ili wapate kuwabana huko huko.
Mkuu una hasira za mkizi!!!Harufu ya kuvimbiwa unaandika usichokijua.
Kwa taarifa yako serikali na Magu wenu mlikurupuka kufanya uharamia badala ya mazungumzo.
Halipwi mtu hapa. Wizi Gano umefanyika na muwekezaji wakati sheria yenu na mikataba ya siri mlimhalalishia kuwa kola kitu ni chake.
Umeshauriwa tafuta maarifa yakusaidie uchambuzi uache kuchamba wima nyaa itakuchafua makalio na mapaja
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.
Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.
Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.
Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye nfo atstulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.
Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Hapana ni lile dole ulilomuweka yule mwanasheria uliyepeleka kuwatetea ACCASIA, sasa ACCASIA wenyewe wamesutuka na kuleta mihela waliyoiba!Wakati unaandika haya ulikuwa umekalia dole ama?
Ha ha ha !
Sijapata kuona mbunge mpuuzi kama wewe! Sasa wazungu wamesema majadiliano kulingana na mikataba sasa huko ni Ku surrender? Hiyo mikataba itabadilika walipe tofauti? Kama ni usajili wa jina tutaambulia hela hazizidi bilioni 5 sasa mjanja Nani hapo?Mzimu wa lowassa hauwezi kumwacha Tundu salama, amebaki kuwa hovyo kadri siku zinavyokwenda.
Actually, tundu amethibitisha ni mwanasheria wa hovyo kuwahi kutokea.Sijapata kuona mbunge mpuuzi kama wewe! Sasa wazungu wamesema majadiliano kulingana na mikataba sasa huko ni Ku surrender? Hiyo mikataba itabadilika walipe tofauti? Kama ni usajili wa jina tutaambulia hela hazizidi bilioni 5 sasa mjanja Nani hapo?
Tunategemea nyinyi wenye access ya kusoma makabrasha mje na hoja maridhawa kuliko maandazi kama hizi. Lissu bado yuko sahihi na tutaaibika kama nchi kwa ajili ya upumbavvu wenu wa ndiyoooo!