COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,622
- 3,696
- Thread starter
- #21
msimamo wako baki nao wewe na mume wako nyumbaniiii....eti unaweza kusema napenda mashindano ya magari,ila sipendi magari ya mashindano yakimbie....ushindi ni lazimaaa...
Bado hujitambui....narudia tena " WENGI WAPE hata kama wataambulia patupu".
Kada wa CCM Lowasa hawezi kuwa na jipya la Kimageuzi. Yeye kwake ni URAIS ndiyo first priority MABADILIKO hayapo kwenye damu yake.
Just wait and see UNABII UTATIMIA.