Msimamizi wa "masters" ya Tundu Lissu ajuta!

Ehh bana wee... Wamedisa hadi wanabana Miguu na kuficha kwa mikono. Ila wote huko nyuma, wanafurahia kweli na sidhani kama wanataka huyo Mdada amalize kucheza haraka.

Kama taa zingelizimwa hapo (kama ni giza) basi wangelimgombea kama Mpira wa Kona ili wacheze naye Zero Distance na kama kuna la maana la kujadili basi wangelisema kwamba: uroda kwanza, Katiba baadaye sana.
View attachment 153493
Mkuu uko sahihi kabisa wanajitekenya kisha wanakata mauno. Mleta mada yuko sawa na huyo dada ( kama atakuwa siye)./QUOTE]
 
Wengine Wapenzi wetu wanatoka Mataifa tofauti. Kwa mfano wangu mie, Baba ni Myunani na Mama ni M-Cayman.

Kwa sasa tunaishi hapa Kamchatka, kama vipi karibu sana upate samaki wa uhakika.

Kwa maana hiyo, tumezoea sisi kuona Sub-marine za Kirusi na siyo hizo Helcopiter zenu.

3497959.jpg

Muwe mnawaambia na wapenzi wenu vijijini Beyonce ni nani mnaporuka na helikopta, kwa jinsi wanavyowapenda huku hawawapi kura,watajua tu mnakula sahani moja!
 
Angekuwa na hoja iwapo tu Tundu Lissu angekuwa alichukua masomo yake "Kivukoni". Huyo professor anadhani lengo la kusoma chuo kikuu ni kuelimika, hajui kwamba lengo ni kuwa enlightened. Kuwa "educated" doesn't neccesarily mean kwamba you are "enlightened". Profesa inaonekana he's more educated kuliko kuwa enlightened.

Hivi Profesa anajua kwamba hata PLATO alikuwa ni mwanafunzi wa SOCRATES? Na tofauti zao kihoja ndio zilipelekea age of enlightment? Dunia ingekuwa wapi leo hii iwapo PLATO angeitikia kila kitu cha SOCRATES?

Tuna haja ya kufahamu tofauti iliyopo baina ya kuwa educated na kuwa enlightened. Kuwa "well educated" maana yake umefanikiwa kujipatia credible
formal training kwenye discipline of your choice. Kuwa enlightened maana yake umejipatia "knowledge" ambayo sasa inakuruhusu kujua "how, where and when" to make the best use of your education.

Future ya taifa letu haipo mikononi mwa the well educated bali wale ambao wamekuwa both - educated and enlightended, ambao idadi yao ni asilimia ndogo sana. Kwa vile katika normal distribution curve, wao ni outliers, ndio maana wanaonekana tatizo.

Cc Mag3, Ben Saanane, FJM, Nguruvi3



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mtoa Mwongo kazoea kuishi kwa uongo hivyo ukweli hauwezi. Tundu Lisu Masters hajasomea UDSM pale alisoma Bachelor Degree au Digri ya Kwanza tu acha uzushi na Upotoshaji. Masters alichukulia UK. Moderators vipi mnaacha wazushi washushe hadhi ya jukwaa???? Au hizi shutuma kuwa nanyi mmeingia kwenye payroll ni za kweli????
 
Hoja hujibiwa kwa hija, si kiroja.

Kuna standards za "academic integrity", tuelezwe ipi imevunjwa, vipi na wapi.

Tusitake kuendekeza "self censorship".

There is no democracy without freedom of speech.

Freedom of speech reigns supreme.
Freedom of speech or freedom of lying? Unajibuje hoja ambayo msingi wake ni uongo?
 
Freedom of speech or freedom of lying? Unajibuje hoja ambayo msingi wake ni uongo?

Kwa kuonyesha uongo uko wapi.

Hicho ki post hakijajisumbua hata kuonyesha uongo uko wapi.

Unachoweza kuonabwewe uongo,.kwa wengine kunaweza ku make.perfect sense as the truth, the devil is in the details.

Sikutegemea academia itoe such a weak criticism.

To London, "down" is the Antipodes, while to the Antipodes, "down" is London.

Ukikariri kwamba "down is the Antipodes" bila ku qualify down relative to where, imekula kwako.
 
Wengine Wapenzi wetu wanatoka Mataifa tofauti. Kwa mfano wangu mie, Baba ni Myunani na Mama ni M-Cayman.

Kwa sasa tunaishi hapa Kamchatka, kama vipi karibu sana upate samaki wa uhakika.

Kwa maana hiyo, tumezoea sisi kuona Sub-marine za Kirusi na siyo hizo Helcopiter zenu.

3497959.jpg
Hiyo kali mkuu, hebu nitafutie ofisi nifungue yawi la CCM!
 
Lisu ni mwiba wenye sumu kali na tayari unaingia kidogo kidogo kwenye nyayo za Interahamwe. Kazi ipo mtaungua sana na moto wa TL enyi magamba.
 
WanaJF,

Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwezaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.

Prof Rwezaura ambaye ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.

Aidha, Prof Rwezaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.

Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.

Wewe mama shambenga kweli. Lisu alisoma LLM Warwick UK. Sasa huyo boyfriend wako alimsimamia lini?
 
Bongo hamna maprofesa wanaandika thesis zao wenye wanazikana wenye 1st shivji nimechanilia mbali likitabu lake LA constitutional law
 
Tusimlaumu sana lissu kosa lake ni kufanya siasa wakati yeye cyo mwanasiasa na anayoyafanya ni mambo ya kisheria zaidi ambayo katika siasa hayana nafasi, kwa ufupi siasa haiwezi namshauri arudi katika taaruma yake ya sheria huku kwenye siasa atatupoteza , mambo ya sheria hufuata sheria na cyo ushauri..

Acha ujinga hebu tuambie wapi wanakosomea siasa? Kwa hiyo mpuuzi ww usiyetaka wajiingize kwenye siasa ni wanasheria tu,wahandisi madoctor na fani nyingine ruksa? Ukiwa ccm lazima uwe pu mba vu
 
WanaJF,

Aliyekuwa msimamizi wa Tundu Lissu katika tafiti zake alizofanya kwenye shahada yake ya pili (Masters degree) katika chuo kikuu cha Dar es salaam, Prof Rwezaura, amejuta kwanini alimsimamia Lissu katika masomo yake.

Prof Rwezaura ambaye ana wasifu mzuri wa mambo ya kisheria ameyasema hayo kufuatia upuuzi ambao Tundu Lissu anaufanya bungeni na kudiriki kusema haumtambui kama mwanafunzi wake wa sheria.

Aidha, Prof Rwezaura aliongeza kwa kusema Tundu Lissu wa kwenye siasa ni tofauti kabisa na yule wa taaluma. Hivyo yeye kama msomi hawezi kushabikia ujinga wa Lissu bungeni.

Source: Mahojiano na Prof Rwazaura.

Mimi siruhusu ushabiki wa kipuuzi. Ninavyosoma haya maandiko yako hata digrii ya kwanza huna.

Kwanza hiyo digrii haiitwi Masters. Naomba usahihishe, sikusaidii ng'o! Watu kama wewe hawakawii kujiona wamesoma. Wewe una digrii ya kitu gani? Maana usije ukawa uliishia darasa la saba kama Lukuvi halafu ukajikuta uko juu kichama na mambo yakakufanya ujisahau kwamba elimu yako ni shida.

Au Ulisimamiwa na Mwakyembe? Source mahojiano! Au source ni umbeya. Uhoji wewe ni nani unayehoji wakati digrii huna (I believe, au jitetee).
Hebu ulizia digrii ya Hawa Gasiya (sp?) ni ya nini. Nenda mbali zaidi ulizia aliyemsimamia anasema nini juu yake?
 
Back
Top Bottom