Utaje huo msikiti, nikiujua nitaenda Ku volunteer kuzuia vibaka wanaoenda misikitini kuiba matalawanda na makubasiKuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?
Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!
Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .
Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
Logical consistence inakujaje? usichoelewa ni kuwa having power to do smething hailazimishi kufanya kitu hicho. kuna several reasons behind doing or not doing s.thing, is not just a matter of power. uwe unaleta facts sio fallacies, sawa?Kwa nini unasema nampangia wakati mimi naongelea logical consistency tu?
Mungu mwenye uwezo wa kusafisha viatu vyote, mwenye upendo wa kusafisha viatu vyote, mwenye ujuzi wa kusafisha viatu vyote, kwa nini asisafishe viatu vyote?
Hujajibu swali hili.
Msikiti wa Manyema kuna mtu aliwahi kurusha ngumi pale, kuna watu wa familia flani weupe walishajiwekea kuwa swafu ya mbele ni ya kwao, so wewe kanjangaz ukifika pale unatakiwa ukae ya pili hata kama ya kwanza haijajaa...
Wewe sio katika imani ! Unajua mtume wetu ametuamlisha mini?Uanabaguliwa ndiyo..sasa ulitaka iwaje? Kwani itakuwa ni Mara ya kwanza kubaguliwa?? Ndo maana kuna wazungu,waarabu,waafrika wahindi nk. Similar birds flock together bwana...ulitaka uwe kenge kwny msafara wa mamba? Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba mkuu.. Kwani ukiswali msikiti mwingingine kwani kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi kaka. Hata watoto hucheza na wenzao wanaoendana! Unalalamika kubaguliwa nchini kwako? Ubaguzi ulikuwepo tangu enzi za akina Said Balaghash itakuwa leo?
Innalillah!Waislam tumefikia stage hii?Msikiti wa Manyema kuna mtu aliwahi kurusha ngumi pale, kuna watu wa familia flani weupe walishajiwekea kuwa swafu ya mbele ni ya kwao, so wewe kanjangaz ukifika pale unatakiwa ukae ya pili hata kama ya kwanza haijajaa...
Labda ulitaka kunyakuwa Micro-phone utoe khutuba... au ulitaka kuiba viatu ?!!? maana kila msikitini nchini unao utaratibu wake na Viongozi walioteuliwa na Chama tawala na kuwapa masharti ya kuto ruhusu mgeni yeyote kujipenyeza na kushawishi waUmini....Yote nina haki ya kuswali tatizo Huduma wanatoa kibaguzi, hawasemi bali matendo tu
Mmmh !! dadngu usiamini maneno hayo ya Patience123 acha uongo !! HAKUNA,HAKUNA, NO no kwanza hakuna Wamanyema waeupe, hilo ni uongo !! pili inapo adhiniwa tu wa kwanza hutakiwa akaSwali mbele apendavyo !! safu hutimia tammati ndipo Swala husimama !!!Innalillah!Waislam tumefikia stage hii?
Wanasali nini hao watu wa hiyo familia?
Aiseee siku nikiingia msikiti wa aina hiyo nami lazima nizirushe...
Taja jina LA mckiti
Wewe kama ni Muislam ungeingia kuswali katika huo msikiti halafu uone kama utabaguliwa ama vipi kuliko kuja kupost vitu vya kudhania na kufikirika. Inawezekana maeneo yaliko huo msikiti hao wasio weusi ni wengi zaidi lakini msikiti wowote hanyimwi tu kwenda kuswali, ni uchaguzi wako tuKuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?
Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!
Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .
Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
When you are in Rome, Do as the Romans do.Misikiti yote ina ubaguzi.
Inabagua wasiotaka kuvua viatu mlangoni.
Sema jingine.
Huyu mama nimekumbuka kweli sijui kapewa ubalozi nchi za mbali mwee faiza popote ulipo sema neno mioyo yetu ipoe manake maisha yalivyo unawezakuta yupo anga nyingine .Jamani faiza
Yote yote wengine wanaendaga kuvizia viatu vizuri uongo?Sasa utakua umeenda kuswali au kutafta shari
Kwani mwafika haurusiwi kuwa budha au kuna kitu zaidi ya waombavyo manake haya mahekalu yana mambo.Huyu anasemea ule wa Karibu na Hindu Mandal wale ni Budha kitu kama hicho na ndo utamadun wao so usilalamike
Kuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?
Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!
Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .
Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
SalaamAleykum W W..Uislamu hauruhusu kufanya "reservation" ya mstari wa kusimana katika ibada.
Huku Asia, Waislamu wa kike wanafanya ibada na full make up, kama wanakwenda harusini.
Nilipowauliza, wakajibu, kama unakwenda kuonana na Mola wako, lazima upendeze saa zote.
Huko Afrika, kutumia manukato/ perfume ni mwiko kwa wengi. Vinuka Vikwapa vinakata stimu ya kusali kwa kweli.
Sababu moja naswali msikiti wa Kishiia badala wa Kisunni ni kuwa kuna vinuka vikwapa wachache sana katika msikiti wa Kishiia.
Labda hao jamaa hawataki kusali na vinuka vikwapa, japo hairuhusiwi kidini kubagua.