Haya sasa mambo yameiva, mambo ya Uliberali yameingia na kwa Waislamu pia!
Imam Seyran Ates
Germany set to open its first liberal mosque in Berlin
Huo utakuwa siyo msikiti Bali jumba la kufanyia ufuska.
kwanini mkuu? Huo msikiti lazima ufunguzi wake utalakiwa na ISIS ama Al qaidaHauchukui 2 yrs lazima uende down
ISIS hawaelewi hiyo mkuu hukuona wanalipua mpaka Ramadhani?Mimi nitafurahi zaidi ikiwa hata misikiti ya kawaida itawaruhusu na wanawake wasali pamoja na wale wa kiume.Hilo la Mashoga kuingia msikitini sio jambo baya.Ikiwa watakutana na wahubiri wazuri ni rahisi kwa hao mashoga kubadilishwa mienendo yao kupitia mausia mazuri na ya kuvuvia nguvu ya Mungu.Mungu hakuja na habari njema duniani kwa ajili ya wema bali wakosefu.Hospitali hazifunguliwi kwa ajili ya wenye siha njema Bali kwa walio wagonjwa.Chakula kinalimwa na kuandaliwa kwa ajili ya wenye njaa.
Fuata yako.Kwani misikiti ni kwa ajili ya watu wa aina gani? Humo wamekusudiwa waingie wasio na dhambi au?