Msikiti mpya kufunguliwa Ujerumani, Mashoga, Kawaida, Wanawake, Suni, Shia kusali kwa pamoja!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,782
Haya sasa mambo yameiva, mambo ya Uliberali yameingia na kwa Waislamu pia!

Imam Seyran Ates
Screen-Shot-2017-06-16-at-10.20.26-640x480.png


Germany set to open its first liberal mosque in Berlin
 
Haya sasa mambo yameiva, mambo ya Uliberali yameingia na kwa Waislamu pia!

Imam Seyran Ates
Screen-Shot-2017-06-16-at-10.20.26-640x480.png


Germany set to open its first liberal mosque in Berlin


Mimi nitafurahi zaidi ikiwa hata misikiti ya kawaida itawaruhusu na wanawake wasali pamoja na wale wa kiume.Hilo la Mashoga kuingia msikitini sio jambo baya.Ikiwa watakutana na wahubiri wazuri ni rahisi kwa hao mashoga kubadilishwa mienendo yao kupitia mausia mazuri na ya kuvuvia nguvu ya Mungu.Mungu hakuja na habari njema duniani kwa ajili ya wema bali wakosefu.Hospitali hazifunguliwi kwa ajili ya wenye siha njema Bali kwa walio wagonjwa.Chakula kinalimwa na kuandaliwa kwa ajili ya wenye njaa.
 
Mimi nitafurahi zaidi ikiwa hata misikiti ya kawaida itawaruhusu na wanawake wasali pamoja na wale wa kiume.Hilo la Mashoga kuingia msikitini sio jambo baya.Ikiwa watakutana na wahubiri wazuri ni rahisi kwa hao mashoga kubadilishwa mienendo yao kupitia mausia mazuri na ya kuvuvia nguvu ya Mungu.Mungu hakuja na habari njema duniani kwa ajili ya wema bali wakosefu.Hospitali hazifunguliwi kwa ajili ya wenye siha njema Bali kwa walio wagonjwa.Chakula kinalimwa na kuandaliwa kwa ajili ya wenye njaa.
ISIS hawaelewi hiyo mkuu hukuona wanalipua mpaka Ramadhani?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom