jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
Wageni wengi wanaokaa nchi za watu kwa vibari vya ukimbizi..unakaa kwa kibali cha kuwa yeye ni shoga au msagaji..kwa hiyo sioni jipya katika hilo.
Huyo ataekwenda kulichoma yawezekana kibari chake kinasoma kama yeye ni shoga ili asirudishwe kwao..
Huyo ataekwenda kulichoma yawezekana kibari chake kinasoma kama yeye ni shoga ili asirudishwe kwao..