Manachoma makanisa wenyewe kwa kugombea sadaka sio waislamu
Wewe kweli Dr.Ninyi mtachoma misikiti mgombee nini?. Wanawake?.
Tumia akili yako vizuri.
Ni ule wa ghadafi?
Ingekuwa kanisa hii thread ingejaa watu na kunyoosheana vidole kungeanza!
ahsante kwa kuniita kilaza. Ubarikiwe. Amen
Waislamu ni wasomi,hawabuni,wakasema labda ni watu fulani ndio wamechoma,wao ni waelewa,na ni watu wasiopenda kuwazushia wengine kama wamefanya jambo fulani bila ya kuwa na uhakika.ni kweli kwakua mmezoea kuchoma makanisa ya watu....rejea Makanisa yaliyochomwa Mbagala, rejea makanisha yanayochomwa Znz ....!
Wewe kweli Dr.
Waislamu ni wasomi,hawabuni,wakasema labda ni watu fulani ndio wamechoma,wao ni waelewa,na ni watu wasiopenda kuwazushia wengine kama wamefanya jambo fulani bila ya kuwa na uhakika.
waislamu hajashutumu ni kina nani wanahusika,wengine wanashutumu kuhusika kwa watu fulani bila ya kuwa na uhakika.Kashangae wenye honorary degree(PhD) wanaojiita Dr.
Tatizo nini?. Mlipokuwa mnasema CHADEMA wanajilipua kwa mabomu, mlikuwa mnafikiri 'out-come' yake itakuwaje?. Leo tumefikishwa hapa hata msikiti ukiungua 'logic' ni kuwa wenye msikiti wamejiunguza. Acha undumila kuwili. Kama mliamini hivyo kwa cdm kwanini msiamini hivyo kwa wengine?. Muache kusema cdm wanajilipua,muache kusema wakristo tunachoma makanisa hili tuibe sadaka!Pamoja na yote. Nawapa pole waislam wote kwa kuungua msikiti.
ni kweli kwakua mmezoea kuchoma makanisa ya watu....rejea Makanisa yaliyochomwa Mbagala, rejea makanisha yanayochomwa Znz ....!