nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,927
- 1,342
Na Tanga
na juzi Bomu la Kanisa la KKKT kule segerea
Na Tanga
waislamu hajashutumu ni kina nani wanahusika,wengine wanashutumu kuhusika kwa watu fulani bila ya kuwa na uhakika.
Mmmmmmm! Hebu kuwa mkweli mbele ya mola wako. Migogoro mingi ya uongozi misikitini sababu sio fweza?:help:Manachoma makanisa wenyewe kwa kugombea sadaka sio waislamu
Msikiti wa BAKWATA au BASUTA.
Manachoma makanisa wenyewe kwa kugombea sadaka sio waislamu
Kashangae wenye honorary degree(PhD) wanaojiita Dr.
Tatizo nini?. Mlipokuwa mnasema CHADEMA wanajilipua kwa mabomu, mlikuwa mnafikiri 'out-come' yake itakuwaje?. Leo tumefikishwa hapa hata msikiti ukiungua 'logic' ni kuwa wenye msikiti wamejiunguza. Acha undumila kuwili. Kama mliamini hivyo kwa cdm kwanini msiamini hivyo kwa wengine?. Muache kusema cdm wanajilipua,muache kusema wakristo tunachoma makanisa hili tuibe sadaka!Pamoja na yote. Nawapa pole waislam wote kwa kuungua msikiti.
This is non sense.Manachoma makanisa wenyewe kwa kugombea sadaka sio waislamu
Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu.
Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha.
Poleni ndugu zetu waislam.
![]()
Source: Magic F. M.
Pole nyingi kwa victims wote na waislamu kwa ujumla wao.
Ingekuwa kanisa hii thread ingejaa watu na kunyoosheana vidole kungeanza!
Swadakta!! Hakuna kumsingizia mtu kwenye jambo usilokuwa na yakini nalo kuwa amelifanya, Sisi hatumsingizii mtu tunafahamu kuwa kuna kadari za Mwenyezi Mungu lakini kwa wengine wao siku zote likiwafika wanajua lazima ni fulani pasina kupata ukweli.Waislamu ni wasomi,hawabuni,wakasema labda ni watu fulani ndio wamechoma,wao ni waelewa,na ni watu wasiopenda kuwazushia wengine kama wamefanya jambo fulani bila ya kuwa na uhakika.
Nipo Dodoma nimepita hapo muda sio mrefu naona Fire wapo wamemaliza kazi yao