The King of Jews
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 478
- 108
watakuwa wamechoma wenyewe ili wapewe misaada toka oman
.......
Mtasikia wanasema MFUMO KRISTO unazid kutuonea
watakuwa wamechoma wenyewe ili wapewe misaada toka oman
Ingekuwa kanisa hii thread ingejaa watu na kunyoosheana vidole kungeanza!
.......
Mtasikia wanasema MFUMO KRISTO unazid kutuonea
Utakatwa shingo wewe! Ngoja wakufahamu
Oooch Majini siyatakuwa yameungua yote au walifanikiwa kuyatoa..!
Oooch Majini siyatakuwa yameungua yote au walifanikiwa kuyatoa..!
Ingekuwa kanisa hii thread ingejaa watu na kunyoosheana vidole kungeanza!
Pole sana ndugu zetu wa Dodoma.
wewe cute!sio kila mada unayoikuta humu ni lazima uichangie hata kama huna point muhimu,hili ni swala la kuhudhunisha,na mleta mada ameshasema kua ni shot ya umeme,sasa hayo unayoyanena yametoka wap?!!hili jukwaa la watu wenye hekima na utashi uliokomaa,ndio maana kumetenganishwa majukwaa,kua makini sana,usiropoke hovyo,kama huna cha kuchangia basi soma na upite kimya kimya.Manachoma makanisa wenyewe kwa kugombea sadaka sio waislamu
Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu.
Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha.
Poleni ndugu zetu waislam.
![]()
Source: Magic F. M.