Msikilizeni Zitto Star TV

Watanzania wamekuwa werevu mno miaka hii. Tapeli anajulikana mapema kabla jua halijachomoza.
Zitto na utapeli wake hataweza kutapeli watanzania

hayupo mtu wa kudanganya tena, acheni atumie fedha kama bajeti ya CCM inavyoelekeza watu wapate mishiko then tusubiri kura za wananchi kwa UKAWA PEKEE

Huyu dogo apigwe sahiv anatuhujumu wananchi

mmeamka wote hata kusali hamwendi kisa zzk atawatoa kamasi
 

Huna nafasi hapa cdm kwani hakuna nafasi za watu wanamna yako,ndumila kuwili baki huko huko wafu na mizoga mzikane.
 
Team ccm please tuendelee kumpa support ya kutosha kijana wetu zzk
 

ok mkuu. Vipi zitto amepata zile milion 700 toka kwa mamvi na ccm?
 
Tajiri amerudi toka Ujerumani??

Anaendeleaje? Maana nahisi amesimamisha mchakato ndani ya ccm mpaka arudi.
 
akiongea startv asubuhi amesema wataanza kusambaza uzalendo wiki ijayo kwa kufanya ziara kupita mikoa 14. stay tuned
mikoa au Miji? Mkoa wa Ruvuma una wilaya na majimbo kadhaa ya uchaguzi sasa ayatullah anazuru songea mjini anasema amezuru mkoa wa Ruvuma!
 
Hili ndiyo tatizo la pro CDM kulazimisha kila mtu afikiri kama wao, kwamba wao wasipomsikiliza ZZK watanzania wengine nao wabadilishe channel.

Tanzania inayokadiriwa kuwa na wapiga kura zaidi ya 24m, wafikiri kama pro CDM, really!!!!!

Kwa kuendelea kumfanyia promo zzk sasa hiyo channel yenu tutaisusa kama tbc na mawingu tv mtabaki kuonyesha mikutano ya ccm tu pale nyamagana
 

We acha tu, kasababisha nichelewe kunywa chai, uchumi wa nchi anaujua vizuri, juzi nilimsikiliza Mbatia yaani alikuwa anaongea pumba hadi roho ikaniuma eti waziri kivuli wa fedha hovyo kabisa. Zitto amekomaa kiuchumi, kuna mambo amenifungua macho, kuwa sasa uchumi wetu unategemea watalii mgodi wa Geita na mauzo ya viti vya plastic, ndo kilimo kifuate, hii ni habari mbaya kabisa kusikia.

Kushuka kwa kilimo cha pamba kwa 40% hii ni habari ya kushitua sana, wakati mjerumani alisema pamba ni white gold sie imegeuka laana. Japo mvua zinanyesha mashamba yote hayajalimwa, yale majembe ya kukokotwa na ng'ombe hayapo tena.

Pia amegusia kuwa upumbavu wa hawa jamaa kusema nchi hatatawalika kunaleta hofu kwa watu wenye mitaji yao.
 
Last edited by a moderator:
ukishathubutu kufanya hili /// KUIFUTA DHAMBI HII katika UMMA wa WATANZANIA NI /// VIGUMU SANA SANA ///YAANI UHARIBU NA KUHUJUMU HARAKATI ZOTE ZA MIAKA 15 /// KWA KITU KIDOGO
Adhabu yake aisubiri october ndio atazijua hasira za watanzania
 
mmeamka wote hata kusali hamwendi kisa zzk atawatoa kamasi
Uzi mlete nyinyi magamba na vibaraka wenu halafu hamtaki watu wachangie!Nyinyi mbona hamjaenda kusali mnaamka alfajiri kuleta thread za ayatullah hapa baada ya kuona yeye na kikundi chake cha act wasaliti hawajadiliwi tena hapa jukwaani.
 
Hili ndiyo tatizo la pro CDM kulazimisha kila mtu afikiri kama wao, kwamba wao wasipomsikiliza ZZK watanzania wengine nao wabadilishe channel.

Tanzania inayokadiriwa kuwa na wapiga kura zaidi ya 24m, wafikiri kama pro CDM, really!!!!!

Nimemsikiliza vizuri sana lkn hamna chochote kipya alichoongea pale
 
Na hakuna atakaye kulaumu kwa msimamo wako sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipokomea. Udhaifu wa report ya PAC kuhusu sakata la escrow hauwezi kuhafifisha umakini wa ZZK katika masuala ya uchumi.

We kalaga baho!
Zzk hana umakini wowote ktk jambo la kimaendeleo,labda kuwazia jinsi ya kupiga ela za watanzania masikini.
 
Na hakuna atakaye kulaumu kwa msimamo wako sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipokomea. Udhaifu wa report ya PAC kuhusu sakata la escrow hauwezi kuhafifisha umakini wa ZZK katika masuala ya uchumi.

We kalaga baho!
Zzk ni mchumia tumbo ndio maana akaanzisha ka vikoba kake kwa kupata kick ya ccm ili ashibe vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…