Wanacheza mechi za kurafiki...kifupi wanajinoaWao Kwa wao hii inaitwaje sasa
MSIKILIZE ANSBERT NGURUMO AKIWAONYA CHADEMA NA WATU KAMA HAOJoseph Mbilinyi aka Sugu ameomba Mdahalo mwingine na Mchungaji Msigwa kwa Lugha ya Malkia au mabeberu
Sugu ameomba Mdahalo wa Kiingereza Ukurasani X
Chadema ni full vituko
Nawatakieni Dominica Njema 😄
UKO SAHIHI, KAMA ULIVYO UJINGA WA MPIRA...FOOTBALL HOOOLIGANISM!Ujinga mtupu
Kwanza niwapongeze walioandaa ule mdahalo kati ya Sugu na Mchungaji Msigwa. Kila mmoja ametoa maoni yake jinsi watakavyosimamia maendeleo ya Kanda ya Nyasa. Hongereni sana wagombea wa Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Midahalo kama hii inatakiwa iwe inafanyika pindi tunataka kuwapima wagombea kwa uwezo wao wa kutuongoza wakinadi sera zao. Nashauri kwenye uchaguzi wa Mwaka 2025 wale watakaoteuliwa na Vyama vyao na hatimaye kupitishwa na Tume Huru ya Uchaguzi kwa nafasi ya RAIS wawe na mdahalo ili sisi wananchi tuwapime kama wanafaa kutuongoza kwa kunadi sera za vyama vyao.
mpira kwa tanzania ndo ujinga mwingine, hasahasa simba na yanga zimefanya watanzania wawe wapumbavu.UKO SAHIHI, KAMA ULIVYO UJINGA WA MPIRA...FOOTBALL HOOOLIGANISM!
Huu mtego, hawezi kuuingia.Huu mtego mnataka kumtega Samia kwa Lissu hawezi kuukubali