PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Msigwa ajue kuwa uteuzi wake katika nafasi hiyo ni kutokana na uchawa na si elimu wala weledi!

No Reforms No Election 🔥!
Huyo mtani wako?labda uniambie nani mtani wa akina Mapunda,Ngonyani,Katembo na waukanda huo?
 
IMG-20250613-WA0001.jpg
 
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata"
=====
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika;

"Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika ripoti zetu"Gerson Msigwa Msemaji wa serikali.

FB_IMG_1749728840762.jpg
 
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata"
=====
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika;

"Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika ripoti zetu"Gerson Msigwa Msemaji wa serikali.

Kaona mawashuwashu ya ICC yatamuwasha.. Huyu kaka anamajivuno na madharau sana.

Ila ajitathomini sana sio poa kwa kizazi cha 2000
 
Back
Top Bottom