PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata"
=====
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika;

"Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika ripoti zetu"Gerson Msigwa Msemaji wa serikali.

Ameanza kujitetea huyu mbwiga, na bado
 
Sawa, kwani ikibaki vilevile kuwa alisema "no reform no election", itakuwaje?
 
Hii dunia ina futuhi sana.Huyu Greson leo anasema hayo siyo maneno aliyotamka kukataza na kutoa kauli kauli sio mahandishi tu hata sauti yako.
IMG_1650.jpeg
IMG_1652.jpeg
 
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata"
=====
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika;

"Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika ripoti zetu"Gerson Msigwa Msemaji wa serikali.

hovyo kabisa kwa sisiem nyeusi ni blue na nyeupe ni crem. akome no reforms no election
 
Hii no reforms, no election ni ya watanzania wote wakiwemo ccm. Hakuna atakayeachwa nyuma ama hapendi au anapenda. Ni kampeni ya aina yake haipaswi kupingwa na yeyote mwenye akili timamu
 
Msigwa Punguza mdomo Bado Kuna issue ya ukarabati wa uwanja Benjamin Mkapa ukisema kampuni ya Uturuki imemaliza kazi huku CAF wamekataa, kuna siku utawajibika
 
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata"
=====
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika;

"Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika ripoti zetu"Gerson Msigwa Msemaji wa serikali.

Na yeye anaunga mkono kwa lugha nyingine.
 
Back
Top Bottom