PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata"
=====
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika;

"Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika ripoti zetu"Gerson Msigwa Msemaji wa serikali.

1749714277647.jpeg
 
Watanganyika tupo pazuri sana. Kifinyo kinawafikia na wanaelewa kuwa safari hii hatuna masihara kabisa.

Muda Mchache uliopita Gerson Msigwa kasalimu amri, kajishusha na kakana matamshi yake.
Screenshot_20250612-101932_Facebook.jpg


Tusiache kusimamia hili. Mwaka huu watawala lazima waelewe sie ndo msingi mamlaka ya Taifa hili.

No Reforms No Election ✌️✊️
 
Watanganyika tupo pazuri sana. Kifinyo kinawafikia na wanaelewa kuwa safari hii hatuna masihara kabisa.

Muda Mchache uliopita Gerson Msigwa kasalimu amri, kajishusha na kakana matamshi yake.
View attachment 3365540

Tusiache kusimamia hili. Mwaka huu watawala lazima waelewe sie ndo msingi mamlaka ya Taifa hili.

No Reforms No Election ✌️✊️
Hata wakiteka wananchi wanasema sio wao.
Kwa hiyo aseme asiseme sisi tunajua kasema.
Na tunasema: NO REFORM NO ELECTION
 
wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata"
=====
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika;

"Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika ripoti zetu"Gerson Msigwa Msemaji wa serikali.

😀😀😀katema bungo.. Gen Z wa Bongo wameamka vibaya sana
 
Hivi Msigwa amewezaje kutamba zama za jiwe mpaka zama za Samia akiwa high profile hivyo hivyo ? Je ni moja ya watu wanao mcoach na kumtune mama kurudi kwenye ule mrengo ?
 
Back
Top Bottom