Msigwa awachezesha kwata CCM Iringa

Msigwa awachezesha kwata CCM Iringa

hapo msigwa hajahamasisha kitu ...hiyo ni mipango ya serikali kuu...wenzake wanahamasishana na kufanya kazi...yeye amefanya nn?
Utakufa na kijiba cha roho
 
Nadhan ndiio kete yao maccm hawajah kuwa Na jipya !mm binafs nishasahau kama Ccm IPO !
 
Usemayo ni kweli kabisa na hilo ni Fundisho kwa sehemu zinazo ikumbatia ccm
Kama Dodoma. Hao hadi tongotongo ziwatoke ni muda, na siku wakitoka kwenye hiyo chupa walimowekwa na ccm patachimbika. Maana wamefanywa mafala miaka nenda rudi.
 
Kama Dodoma. Hao hadi tongotongo ziwatoke ni muda, na siku wakitoka kwenye hiyo chupa walimowekwa na ccm patachimbika. Maana wamefanywa mafala miaka nenda rudi.
Ni kweli mkuu ogopa mjinga akielewa,mfano ni watu wa mikoa ya kusini walivyo amua kuipiga ccm chini
 
Hakuna anayeitaka ccm kwa ss ni maguvu tu yanawasaidia lkn the day ar numbered, hakuna marefu yakakosa mwisho
Usemayo ni kweli kabisa mkuu ipo siku kwani hata makaburu walikuwa wanajidanganya hivyo hivyo
 
Hivi huyu sijui msigwa ni mchungaji wa ng'ombe au kondoo??
 
Tuombe mungu mkuu
Ukitaka kujua mungu yupo nasi ktk hilo ukiona majaribu mateso,shida na maumivu jua neema iko mrangoni lkn kwakuwa wenye kiburi wametiwa giza hawayaoni hayo mpaka watakapo anza kutandikwa.
 
Back
Top Bottom