Msigwa awachezesha kwata CCM Iringa

Msigwa awachezesha kwata CCM Iringa

NATAMANI CCM IRINGA IFIKE SIKU MOJA AAWAJIONE NI CHAMA HARAMU ! HATA HIVYO CCM IRINGA NI KAMA SENENE HUTOKEA MSIMU MMOJA NA PALIPO NA TAA YA UMEME
Washapoteana
 
NATAMANI CCM IRINGA IFIKE SIKU MOJA AAWAJIONE NI CHAMA HARAMU ! HATA HIVYO CCM IRINGA NI KAMA SENENE HUTOKEA MSIMU MMOJA NA PALIPO NA TAA YA UMEME
Washapoteana
 
Msigwa huyu ambaye HV juzi alibebwa na mbowe kwenye uchaguzi wa ndani?????
2020 akipata kura 3000 basi hata kama mwakalebela atashinda nitashauri amwachie jimbo kiufupi chadema wabunge hawatazidi Saba
 
Msigwa huyu ambaye HV juzi alibebwa na mbowe kwenye uchaguzi wa ndani?????
2020 akipata kura 3000 basi hata kama mwakalebela atashinda nitashauri amwachie jimbo kiufupi chadema wabunge hawatazidi Saba
Hiyo kazi ya utabiri ilishawashinda nyie ccm,muulize wasira atakwambia kilicho mkuta
 
Msigwa huyu ambaye HV juzi alibebwa na mbowe kwenye uchaguzi wa ndani?????
2020 akipata kura 3000 basi hata kama mwakalebela atashinda nitashauri amwachie jimbo kiufupi chadema wabunge hawatazidi Saba
Sio kweli mkuu,
Ni sisi wana Iringa ndiyo tulimpigia kura, NEVER anyone, and btw the so called mbowe or whatever you call him, Who is he??
 
Sio kweli mkuu,
Ni sisi wana Iringa ndiyo tulimpigia kura, NEVER anyone, and btw the so called mbowe or whatever you call him, Who is he??
Mkuu asante kwa kukata mzizi wa fitina
 
yeye msigwa amefanya nini? wenzake wamepaka shule rangi

cha kushangaza unaandika nonsense
Naona bado una hangover ya x-mass, njoo Iringa ndio utajua nini mh Msigwa kafanya
 
Hachana nao hao wazee wa pangu pakavu
Ni kweli kabisa mkuu huyu jamaa badala atulie huko aliko kimbilia anaanza kukosoa thread za watu na kujiona yeye ndiye mwenye uelewa pekee
 
Hachana nao hao wazee wa pangu pakavu
Ni kweli kabisa mkuu huyu jamaa badala atulie huko aliko kimbilia anaanza kukosoa thread za watu na kujiona yeye ndiye mwenye uelewa pekee
 
Ni kweli kabisa mkuu huyu jamaa badala atulie huko aliko kimbilia anaanza kukosoa thread za watu na kujiona yeye ndiye mwenye uelewa pekee
Ni wa Kumpuuza tu
Maisha Magumu Mzee Watu Wame athiriwa Hadi Akili.
 
Msigwa noma mwanzo alipishana kura chache na mama Mbega mwaka 2010 kama elfu 1 na akawa na diwani 1
Mwaka 2015 kamzidi Mwakalebela kwa kura zaidi ya elfu 10 na kapata madiwani 14 kati ya 18 ikapelekea kupata meya na naibu wake wa CHADEMA acha awapeleke mchaka mchaka
 
Msigwa noma mwanzo alipishana kura chache na mama Mbega mwaka 2010 kama elfu 1 na akawa na diwani 1
Mwaka 2015 kamzidi Mwakalebela kwa kura zaidi ya elfu 10 na kapata madiwani 14 kati ya 18 ikapelekea kupata meya na naibu wake wa CHADEMA acha awapeleke mchaka mchaka
Hilo jambo ndio linawafanya wana ccm kulala na viatu kila siku
 
yeye msigwa amefanya nini? wenzake wamepaka shule rangi

cha kushangaza unaandika nonsense
IMG_20160912_072551.jpg
IMG_20160912_071243.jpg
 
Back
Top Bottom