Msigwa awachezesha kwata CCM Iringa

Msigwa awachezesha kwata CCM Iringa

Kwa hiyo wanaopaka Rangi ni CCM au Serikali? CCM wanabajeti ya kapaka rangi kwenye mashule? Hizi siasa zimeharibu sana ubongo wa vijana.
Kitu kama hujui uliza wacha kukurupuka wanaofanyafanya hiyo kazi ni viongozi wa ccm
 
Hongera sana mbunge wa Iringa kwa kuwachezesha kwata kadri unavyotaka wapinzani wako CCM.

Sasa ni takribani wiki ya pili viongozi wa CCM wanashinda mitaani wakipaka rangi shule za msingi bila kupenda wakiwa na lengo la kutafuta ushawishi toka kwa wana Iringa bila mafanikio.

Hongereni wana wa Iringa kwa kukataa kudanganyika, mbunge wa kweli ni yule anayewajali wapiga kura wake na siyo kipindi cha kutafuta kuungwa mkono.
CCM wakisikia jina Msigwa matumbo ya kuhara yanawashika
 
Ninyi si ndio mlisema mna ushahidi wa kutosha kwenye majukwaa? Haya mfikisheni Mahakamani na sasa yuko kwenu!!
Naona umekosa cha kuongea kama hujui ni nani ana mamlaka ya kukamata na kushitaki
 
Naona umekosa cha kuongea kama hujui ni nani ana mamlaka ya kukamata na kushitaki
Pelekeni ushahidi mlionao kwenye vyombo vya Sheria hatua zichukuliwe au mnakaa nao wa nini? Ebo kumbe mlikuwa mnadanganya watu?
 
Hongera sana mbunge wa Iringa kwa kuwachezesha kwata kadri unavyotaka wapinzani wako CCM.

Sasa ni takribani wiki ya pili viongozi wa CCM wanashinda mitaani wakipaka rangi shule za msingi bila kupenda wakiwa na lengo la kutafuta ushawishi toka kwa wana Iringa bila mafanikio.

Hongereni wana wa Iringa kwa kukataa kudanganyika, mbunge wa kweli ni yule anayewajali wapiga kura wake na siyo kipindi cha kutafuta kuungwa mkono.
Unaidanganya akili yako mwenyewe!

Sent from my C6903 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom