Maua kilasa
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 1,040
- 561
Inabidi nchi nzima wawe kama Iringa ili ubabe uishe.
Hongera sana mbunge wa Iringa kwa kuwachezesha kwata kadri unavyotaka wapinzani wako CCM.
Wanashi kwa kutegmea nguvu za giza lkn mungu ni mkubwa na wa woteUkitaka kujua mungu yupo nasi ktk hilo ukiona majaribu mateso,shida na maumivu jua neema iko mrangoni lkn kwakuwa wenye kiburi wametiwa giza hawayaoni hayo mpaka watakapo anza kutandikwa.
...wa mbwa., Hapy??Hivi huyu sijui msigwa ni mchungaji wa ng'ombe au kondoo??
Tunakuchunga ng'ombe weweMchungaji wa ng'ombe kama wewe
Naanza na shetani wewe kukuulizaWaulize shetani wenzio utapata jibu
Tafuteni freedom ndani ya lichama lenu la wahuni la chadema kwanzaTena freedom is coming tomorrow no longer
Kwani chadema mnamtaka mwenyekiti wenu??Hakuna anayeitaka ccm kwa ss ni maguvu tu yanawasaidia lkn the day ar numbered, hakuna marefu yakakosa mwisho
Kagera kabisa bariadi jiraniAnakaa BARIADI afu anakoment nyuzi za IRINGA.
Anayepost ujinga akapimwe akili ....... Mwasita moja.Anayemshabikia Lowasa akapimwe akili --------Msigwa