Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Uchungaji hausomewi popote. Mchangaji ni wakili wa Mungu, anafundishwa na aliyemuita. Wachungaji wa mshahara ndo wanapitia vyuoni ili wapate hekima ya kuwaongoza watu.
 
Lukosi muogope Mungu na uheshimu kazi za watu. kwa taarifa yako yote uliyoyataja ni shhghuli halali ambazo kwazo watu hujipatia mkate wao wa siku.

Chunga mdomo wako, nina hakika wapo pia jamaa zako wa karibu au mbali wanafanya shughuli hizo.

no wonder you are branded 'kubwa jinga.'
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Kwani wewe umesomea wapi kula Rambirambi ya Mwangosi??
 
hizo ni hasira za mkosaji tuu, mwakalabela atipenda tu hiyo 2015, jembe msigwa
 
mse nge wewe nan alikuambia uchangaji lazima usomee, hujui kuwa ni God indpirational kwa watu wakw na ni talent? mku ndu wewe
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Wewe ulisomea wapi Clearing & Forwarding huko UK au hata Tanzania? Mijitu mingine bana ipo so ignorant! Uchungaji ni mwito na siyo lazima mtu uende chuo! Inategemea personality yako, convictions/beliefs zako, persuasive powers ulizo nazo, oratorial skills, charisma, n.k. vitu ambavyo wengi wanazaliwa navyo, au wanajifunza kupitia maisha ya kila siku, na siyo lazima wawe na madigrii.
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Mandela aliwahi kuwa mlinzi wa usiku mgodini Pimbi wewe!!!
 
Babu yake alikuwa akichuna sana ng'ombe na mbuzi hivo hakusomea bali uchungaji wake ni wakurithi
 
Biblia ipi inasema kuwa uchungaji unasomewa? Mbona vilaza wamezidi sana JF?
 
Lukosi muogope Mungu na uheshimu kazi za watu. kwa taarifa yako yote uliyoyataja ni shhghuli halali ambazo kwazo watu hujipatia mkate wao wa siku.

Chunga mdomo wako, nina hakika wapo pia jamaa zako wa karibu au mbali wanafanya shughuli hizo.

no wonder you are branded 'kubwa jinga.'

Mkuu I like ur comment!

Kuosha viatu sio kazi ama kiuza genge sio kazi? We Lukosi usidharau kazi za watu ---- wewe kuna watu wanaishi town kwa kazi hizo hizo! We ni backpacker uko nini?
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Nawe anza shoe shine,kuuza duka utapata uchungaji na ubunge wa ccm.
Kweli nimeamin maccm yanatumia ------ kufikiri
 
Back
Top Bottom