Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

haya ni mameno ya Mch. Msigwa (MB) kwenye Kongamano la BAVICHA pale Landmark Hotel Ubungo:

"we are the product of the previous generation, not the prisoners of the previous generation

"three things...

"1. conserving the (past) good
"2. striving for new creative thinking

"don't die without doing nothing for your society and country"

"CHADEMA hatutaki vijana washabiki, bali tunataka vijana wenye hoja"

mwisho wa kunukuu.

wewe unaemcheka Msigwa eti kisa alikuwa shoe-shine, ama muuza genge, tunakuona punguwani tu. For we the young generation of the United Republic, Msigwa is an inspirational figure.

kafie mbele....
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Hivi Kiazi wewe unaweza kujilinganisha na Msigwa wewe kiazi.
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

we sio mzima lukosi utamwitaje binadamu mwenzio jiwe?------- sana wewe uchungaji hausomewi ni kipawa hakuna shule ya uchungaji na sio kila mtu anaweza kuwa mchungaji
 
CCM na Mkakati wa Mafunzo ya kijeshi! - YouTube
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!
 
nawe weka elimu yako ya shunguli hii uliipata wapi?
mzee-wa-kazi-chris-lukosi-akiwajibika.jpg

Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!
Hujitambui, huwezi ukaleta swali kwa hisia namna hii, kwanza kama mnafahamiana na msigwa kwanini usimuulize mwenyewe?
 
Nimefanya tadhimini ya post zako na ninaona kama unaumwa,karibu mirembe ukija ulizia ward 13,utanikuta nikupe dawa.
 
Lukosi,
Babox yamekuaribu kiasi haipi siku bila kutaja ma/jina la kiongozi/mwanachama yeyeto wa CDM. Toa mawazo ya kujenga Taifa acha kuchunguza maisha ya mtu. Hao waliokuwa majambazi na leo wapo ccm hamuwaoni?

Mawazo yangu
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
All Africa Bible College, South AfricaB.Ministry19992004GRADUATE
Sangu Secondary SchoolO-Level Education19831986SECONDARY
Magoye Primary SchoolPrimary Education19761982PRIMARY

EMPLOYMENT HISTORY
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Unamfaham msigwa ??
Sikuwah jua kuwa watu wanaweza kuwa waongo kiasi hiki. Yaani mtu anadirik kuandika uwongo mweupe mchana kweupe kabisa tena kwa kujiamin. Puh!
Me sio kada wa chadema,wala, mwanachama,wala shabiki. pia cyo mwanachama,kada wala shabiki wa ccm. Am jst an ordinary man. With friends waliopo kwenye vyama vyote,fan zote,dini zote etc etc.

Namfaham msigwa walau kwa udogo, namfaham tangu anahustle iringa,na mke wake yule wa kwanza .mama kulwa na dotto.(RIP) ,akaenda south africa akasomea uchungaji, akarud kafungua biashara zake za stationary (two sisters stationary miyombon) ,akalink na chuo alichosoma south wakaanzisha branch ya hicho chuo iringa.kiufup namfaham ,maisha yake nje ya siasa ni maisha ya mtu anaejua kufight sana ,ni mfano wa kuigwa kwa vijana. Sijabahatika kuhudhuria mkutano wake wa siasa lakin nimehudhuria ibada kanisani kwake ,two or three times nikiwa iringa.
 
School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
All Africa Bible College, South AfricaB.Ministry19992004GRADUATE
Sangu Secondary SchoolO-Level Education19831986SECONDARY
Magoye Primary SchoolPrimary Education19761982PRIMARY

EMPLOYMENT HISTORY
Kwa hiyo kila anaesomea mambo ya dini automatic anakuwa mchungaji?

Hebu tuwe wakweli hapa. unataka kutuambia wanafunzi wote waliopita seminari ni mapadre?

Uchungaji wa Msigwa ni wa kujibambikiza tu, sijawahi kuona mchungaji akichochea vurugu siku ya kumuabudu Mungu

Nakumbuka jumapili moja mchungaji alikacha kwenda kanisani akaenda pale barabara mbili kuchochea vurugu kwa wamachinga,. matokeo yake polisi wakapiga mbata kichogo na kumsweka rumande
 
Moderator toa hii haihusiani na siasa
ndugu zanguni,

kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

jitambue!
 
Hoja nyingine bwana zinatia aibu.Inatuhusu nini sisi watanzania kujua uchungaji wa Msigwa?unataka kutambikia? idiot!
 
Back
Top Bottom