Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Mla rambi rambi za mwangosi Chris lukosi ni janga la taifa
 
Tatizo la bwabwa likizidiwa linaweza kujilaza hata njia panda ili lipate mseti...
 
Wee mbulumundu mimi ni ex cop na kabla sijapanda ndege lazima nizijue sura zilizokaa karibu nami

Wakati nakwenda ndege ilikuwa na watu saba na wakati wa kurudi abiria tulikuwa wawili wanaume na mtoto mdogop wa miaka mitano mmoja jumla watatu tu na rubani wa nne

Sasa sijui kama wewe ndio yule aliekuwa kapakatwa na mama yake akilia njia nzima wakati tunakwenda kwa sababu kanyimwa embe au yule aliekuwa akinirembulia macho

Ex-cop wa bongo? Hivi wakiitwa ma-Ex cops na wewe utatoka kweli? Huyu nimeamini upstairs sio mzima
 
Baada ya watu wote kufanywa watakatifu MALAIKA waliacha kushuka siku hizi. Kwa hiyo Msigwa Mtakatifu tu kwa upande wake na umwamini
Hawa watukufu walisomeshwa kupitia ROHO MTAKATIFU na kwa waislamu wanasema MALAIKA JIBIR. Sasa huyu muhuni Msingwa naweza kushukiwa na Roho mtakatifu au Malaika Jibir ambaye kwa sasa hashuki tena ameshamaliza kazi yake. Kijana chunga sana usiwalinganishe watukufu na muhuni.

 
Lukosi usijali huyu fake mchungaji yupo kwa muda tu na soon jimbo litarudi kwa wenyewe
 
sijawahi kuona mtu mpuuzi kama huyu bwana lukosi......mtu unamfahamu tangu enzi leo unakuja kutuuliza humu eti uchungaji alisomea wapi huu si ujinga kabisa wewe lukosi niheli sisi tuliochagua jiwe lituongoze kuliko wewe uliechagua mizigo ikuongoze.....hopeless shame on you
 
Chris lugosi (sijui kama nimepatia jina) vipi unataka kutolewa pepo? mbona kule kwa kijani wapo wachungaji wengi tu?
 
Kweli kuna watu wanachekesha unasema unamjua tangu akiwa shoeshine mengine umeshindwaje? 2.Umesema alichaguliwa au lilichaguliwa jiwe vyema mawe menzake yalimchagua ndiyo anayoyaongoza si ajabu na wewe.3.Na hata Rc.DC.RPC.Rco.mkurugenzi n.k wote ni mawe.
Kumbuka wengine walipelekwa baada ya uchaguzi na ni wateuliwa wa Rais je nae rais kwanini awachague watu wende kuongoza mawe?

Ndg wana jf lugha au sentens zetu sio Nzuri hata kidogo tutumie huu Uhuru kwa manufaa yetu na wengine pia
 
Huyu mhuni kazaliwa na nani na wapi? C anauza sembe pale mitaa ya makahaba london na kulala sebuleni kwa sista wake shame upo, hvi rambirabi ya mjane kweli huoni aibu?
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

nadhani kinana, kagasheki, vuai, nchimbi na mathayo watakua wanajua mchungaji kasomea wapi uchungaji

hamkua wote ccp?? kabla hujaamua kwenda kubinuka UK?
 
Back
Top Bottom