Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #81
Usipotoshe watu, mambo ya kishirikina haluna ni uhuni tuu, hata wewe ukijificha tu mwezi familia yako inaelekea itakimbilia kwa waganga
Watakimbia wasichokijau, siri ni moja tu, upate ila ya kuwaona mchezo umeisha, ni mazingaombwe ya kutuficha macho tusiwaone ndicho mchezo mzima. Inapotokea watu kuambiwa kadondoka or what ever ukweli ni kwamba madawa yao yana masharti na muda, kimoja kikikosewa basi matokeo ndio hayo.