Msichana Witness Obedi aliyefariki na kuzikwa atokea nyumbani kwake na kusimulia mkasa

Habari hizi ni za kweli ingawa mwandishi ameongeza chumvi ila tukio limetokea maeneo ya moshono arusha, na baba wa marehemu ni mwinjilisti wa makanisa ya KKKT usharika wa Mara. wakati binti huyu amepotea kulikuwa na mvua kubwa sana zikinyesha mkoani Arusha na binti huyu alikuwa ni mlokole na alipenda sana kwenda kwenye maombi radio safina kwa wale wakazi wa arusha na moshi wanafahamu, kutokana na tatizo lake la kurukwa na akili muda mwingine alitoka safina na kwenda kwa ndugu zake maeneo ya nduruma na wakati akirudi akaendele na safari zake hakufika nyumbani hali ilioinua taharuki kubwa nyumbani kwao. baada ya kutomuona kwa muda wa siku nne wakaamua kutoa taarifa kwa vyombo vya dola na ndipo walipopata taarifa kuwa kuna maiti maeneo ya nduruma ya msichana imekutwa mtoni na ikiwa imeharibika na wakazi wa huko hawaitambui na hakuna mtu kapotea maeneo hayo, baada ya kusikia hayo familia ya binti huyo iliamua kufunga safari mpaka huko na kukuta wakazi wa nduruma wameshaizika kwenye mfuko wa sulphate(kwa wakazi wa arusha na moshi) na kuoma ifukuliwe na polisi waliwaonyesha picha wakiwa wameitoa maiti hiyo ndani ya maji baba mzazi wa binti huyokutokana na binti yake kutoonekana kwa muda mrefu na taarifa kwamba binti yae alienda nduruma moja kwa moja alisema huyu ni binti yangu ingawaje mama alikataa na kusema binti yangu sio mnene hivi baba akasema kwa sababu imekaaa kwenye maji mda mrefu imevimba. kilichofuatia ni kuifukua maiti na kuiweka kwenye jeneza ikiwa kwenye mfuko wa huo wa sulphate na kwenda kijiji cha moshono kwa mazishi. Habari hizi si za kishirikina ila ni makosa tu yalifanyika na mpaka so watu waache kupotosha.mto nduruma ni mto mkubwa sio mferegi so maiti hiyo huenda imetoka mbali sana coz mpaka sasa hivi hakuna mtu mkoani arusha ameripoti kupotelewa na ndugu na polisi wanaendelea na uchunguzi kwa kuwasiliana na mikoa mingine.kaburi limeng'olewa tu msalaba na kuachwa kama lilivyo mpaka hapo uchunguzi wa polisi utakapo kamilika ila ndugu wa baba wa binti wanasema walisawazishe coz ni mkosi.source ni mimi mwenyewe coz nlikuwa mpaka eneo la tukio.

duu hii inatisha pia. hiyo maiti nayo kupatikana tu kipindi cha kutoweka huyo binti...
 
duu hii inatisha pia. hiyo maiti nayo kupatikana tu kipindi cha kutoweka huyo binti...

Imetokea tu ila sio watu wanavyong'ang'ania ni maswala ya kishirikiana hapo mimi nakataa kabisaaaa, wasungu wanasema "its just a coincidence" na ndo maana baba wa binti hakuumiza akili akajua mioja kwa mioja ni yeye.
 
Waandishi wa habari sometimes wanapotosha sana jamii, yani kitu cha kawaida wana ki-sweliiiisha mradi tu wauze magazeti sio mara yangu ya kwanza tukio nalifahamu kabisa lakini magazeti ololoooo wana exaggerate mbaya kabisa
 
Haya mambo yanasikika Tanzania tu.

Matukio kama hayo si kwa Tanzania tu, nimewahi kushuhudia kwenye vyombo vya habari matukio mawili ya aina hiyo nilipokuwa nchini Marekani, ingawa huko watoto waliopotea na kisha kufika nyumbani wakiwa wamepoteza uwezo wa ufahamu na utambuzi baada ya miaka mitatu au minne hadi walipopelekwa hospitalini kwa matibabu, lakini mazingira ni yayo hayo. Mhusika alishikwa na sijui baadaye kilichoendelea. Mambo haya yapo tusijaribu kutelezesha ukweli.
 
GPL na Shigongo kwa pamoja ni tatizo yaani siku nikikuta hata kipande cha gazeti la GPL na yanayofanana nayo hakika aliekileta atachezea BAN hawa hawaaminiki kabisa.
 
Kwa kuwa source ni GLOBAL PUBLISHERS.....wacha niendelee na mambo yangu....
 
Habari hizi ni za kweli ingawa mwandishi ameongeza chumvi ila tukio limetokea maeneo ya moshono arusha, na baba wa marehemu ni mwinjilisti wa makanisa ya KKKT usharika wa Mara. wakati binti huyu amepotea kulikuwa na mvua kubwa sana zikinyesha mkoani Arusha na binti huyu alikuwa ni mlokole na alipenda sana kwenda kwenye maombi radio safina kwa wale wakazi wa arusha na moshi wanafahamu, kutokana na tatizo lake la kurukwa na akili muda mwingine alitoka safina na kwenda kwa ndugu zake maeneo ya nduruma na wakati akirudi akaendele na safari zake hakufika nyumbani hali ilioinua taharuki kubwa nyumbani kwao. baada ya kutomuona kwa muda wa siku nne wakaamua kutoa taarifa kwa vyombo vya dola na ndipo walipopata taarifa kuwa kuna maiti maeneo ya nduruma ya msichana imekutwa mtoni na ikiwa imeharibika na wakazi wa huko hawaitambui na hakuna mtu kapotea maeneo hayo, baada ya kusikia hayo familia ya binti huyo iliamua kufunga safari mpaka huko na kukuta wakazi wa nduruma wameshaizika kwenye mfuko wa sulphate(kwa wakazi wa arusha na moshi) na kuoma ifukuliwe na polisi waliwaonyesha picha wakiwa wameitoa maiti hiyo ndani ya maji baba mzazi wa binti huyokutokana na binti yake kutoonekana kwa muda mrefu na taarifa kwamba binti yae alienda nduruma moja kwa moja alisema huyu ni binti yangu ingawaje mama alikataa na kusema binti yangu sio mnene hivi baba akasema kwa sababu imekaaa kwenye maji mda mrefu imevimba. kilichofuatia ni kuifukua maiti na kuiweka kwenye jeneza ikiwa kwenye mfuko wa huo wa sulphate na kwenda kijiji cha moshono kwa mazishi. Habari hizi si za kishirikina ila ni makosa tu yalifanyika na mpaka so watu waache kupotosha.mto nduruma ni mto mkubwa sio mferegi so maiti hiyo huenda imetoka mbali sana coz mpaka sasa hivi hakuna mtu mkoani arusha ameripoti kupotelewa na ndugu na polisi wanaendelea na uchunguzi kwa kuwasiliana na mikoa mingine.kaburi limeng'olewa tu msalaba na kuachwa kama lilivyo mpaka hapo uchunguzi wa polisi utakapo kamilika ila ndugu wa baba wa binti wanasema walisawazishe coz ni mkosi.source ni mimi mwenyewe coz nlikuwa mpaka eneo la tukio.

Si vema kukubaliana na hoja yako ya utetezi ambayo haionyeshi ufundi katika kutuhabarisha kwa kuchukua jukumu la kufanya utafiti wa kina kutoka kwa msichana husika, wazazi, majrani, makaburi na vyombo vya usalama kama polisi.

Ungefanya hivyo ningekuwa upande wako, lakini umekuja na habari za vijiweni zisizohakikiwa, kwa mtazamo wa jumla unaweza ukawa ni mmoja katika kundi wa hawa washirikina na hivyo unajaribu kujenga utetezi wa kuwalinda washirikina kashfa hii kwa vile wachawi kwa wachawi hawawezi kushikana uchawi.
 
wachawi mmekutana!

hahahahaaa chaUkucha, sisi si wachawi bali tunataka kuanzia walipoishia wengine, hatutaki kubaki gizani, kwa mfano tungependa kujua nini kilitokea tangu siku anapotea mpaka anapatikana, alikuwa wapi anafanya nin, alikuwa anakula nini? yani maswali ni mengi na wengi wetu hatutaki kujishughulisha nayo hivyo tunabaki palepale
 
Majirani zetu wanaongoza kwa IT sisi tunaongoza kwa uchawi

kamongo tungewekeza kwenye uchawi na tukautumia vizuri in a positive way tungepaa kimaendeleo, tusingekuwa na mambo mabaya katika jamii kama ajali, ujambazi,michepuko, magonjwa, umaskini nk, tusingedaiwa na mataifa makubwa matrillion ya shilingi nk nk nk! napenda kujifunza hii sayansi kwakweli
 
kamongo tungewekeza kwenye uchawi na tukautumia vizuri in a positive way tungepaa kimaendeleo, tusingekuwa na mambo mabaya katika jamii kama ajali, ujambazi,michepuko, magonjwa, umaskini nk, tusingedaiwa na mataifa makubwa matrillion ya shilingi nk nk nk! napenda kujifunza hii sayansi kwakweli

kila la heri
 
mleta uzi sijamuelewa mpaka sasa. alicho simulia marehemu ni kipi sasa?
 
Si vema kukubaliana na hoja yako ya utetezi ambayo haionyeshi ufundi katika kutuhabarisha kwa kuchukua jukumu la kufanya utafiti wa kina kutoka kwa msichana husika, wazazi, majrani, makaburi na vyombo vya usalama kama polisi.

Ungefanya hivyo ningekuwa upande wako, lakini umekuja na habari za vijiweni zisizohakikiwa, kwa mtazamo wa jumla unaweza ukawa ni mmoja katika kundi wa hawa washirikina na hivyo unajaribu kujenga utetezi wa kuwalinda washirikina kashfa hii kwa vile wachawi kwa wachawi hawawezi kushikana uchawi.

Acha kuropoka , huyu bint ni jirani yetu na tunaelewa kila kitu kilichotokea hakuna uchawi wowote usilete habari za kuamini ushirikina wala nini kwa mimi hakuna ushirikina wowote ni makosa ya kawaida tu yalifanyika
 
mleta uzi sijamuelewa mpaka sasa. alicho simulia marehemu ni kipi sasa?

Maelezo ya msichana kwa wanahabari walioenda kumhoji ni kama ifuatavyo hapo chini:
Baada ya kuondoka alifika kwenye nyumba moja na kumkuta mama mmoja, aliomba maji ya kunywa. Alipewa na alipokuwa anakunywa mama yule alikuwa anamsimamia, lakini alipoonja na kuona machungu alikataa, lakini mama yule alimlazimisha kwa kumnywesha hadi akamaliza kisha akapoteza fahamu na hakujua nini kinaendelea na wapi aliko hakujitambua.

Anasema baadaye hajitambui amefikaje nyumbani, na mama yake alipomwona mara ya kwanza akifika alikimbia kufikiria anaona mzuka. Lakini baadaye alijipiga moyo konde na kumjongea binti yake.
Haya ni maelezo ya bingi mwathirika, naona swali limejibika, na uktaka kupata habari kamili nenda huko kwenye source yake.
 
Acha kuropoka , huyu bint ni jirani yetu na tunaelewa kila kitu kilichotokea hakuna uchawi wowote usilete habari za kuamini ushirikina wala nini kwa mimi hakuna ushirikina wowote ni makosa ya kawaida tu yalifanyika

Maelezo binafsi yasiyojitosheleza yanatafsirika kama ni ya kutoholewa vijiweni kwa sababu maelezo yako hayajawa published kwa utaratibu wa vyombo vya public media, na umeshindwa kuleta ushahidi wa uchunguzi wako kama walivyoleta hawa waandishi ilikochukuliwa source ya habari hii. Sina kawaida ya kukubali maelezo ya mtu binafsi bila uthibitisho wa kinga ya public publication, hivyo naweza kudiriki kukuambia you are seriously wrong kwa vile hujaleta uthibitisho wa utafiti, kwamba unaishi karibu utatuthibitishaje kama si mtu unayejaribu kusafisha ukweli wa tukio hili?
hahahahaaa chaUkucha, sisi si wachawi bali tunataka kuanzia walipoishia wengine, hatutaki kubaki gizani, kwa mfano tungependa kujua nini kilitokea tangu siku anapotea mpaka anapatikana, alikuwa wapi anafanya nin, alikuwa anakula nini? yani maswali ni mengi na wengi wetu hatutaki kujishughulisha nayo hivyo tunabaki palepale

Umeona chanzo cha habari si blabla kama zako, wameleta uthibitisho wa:
  1. Tukio zima tangu mwanzo hadi mwisho
  2. Mhusika mkuu wa tukio/mwathirika
  3. Wazazi
  4. Mazingira ya tukio
  5. Majirani
  6. Mamlaka ya usalama ya serikali
  7. Serikali ya mitaa
  8. Picha kadhaa za kuonyesha mazingira ya tukio kama ifutavyo;


  • [*=1]Picha ya mwathirika
    [*=1]Picha ya Mama yake mzazi
    [*=1]Picha ya kaburi alilozikwa mara ya pili
    [*=1]Picha ya majirani
Kwa dondoo hizo zinathibitisha chombo kilicholeta habari ambako nimetohoa na kuileta hapa kimefanya utafiti wa kina tofauti na wewe unayeleta maneno yasiyo na utafiti wa kina ila blabla tu.
 
Uongo mtupu.....Kwanini wameona makovu badala ya sura halisi.....??? Bora ingekuwa wameona sura halisi ya huyo binti wakati wanamfukua...

Walitangaza kuwa wanamtafuta binti yao....Walisikia binti aliyeuwawa walipofika walikuta ameshazikwa.....

Hapa kuna utata....Kwann wazike mtu wasiyemfahamu, mtu aliyekutwa amefariki kwanza lazima apelekwe motuary na taarifa zifike polisi.....

Maiti itasubiri ndugu wajitokeze kwa muda fulani....Kama ndugu hawatajizokeza mwenye jukumu la kuuzika mwili ni Manispaa na siyo kikundi cha watu.....Hili ni Chaka..

I cant buy this cr.ap...
 
Back
Top Bottom