ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Si vema kukubaliana na hoja yako ya utetezi ambayo haionyeshi ufundi katika kutuhabarisha kwa kuchukua jukumu la kufanya utafiti wa kina kutoka kwa msichana husika, wazazi, majrani, makaburi na vyombo vya usalama kama polisi.
Ungefanya hivyo ningekuwa upande wako, lakini umekuja na habari za vijiweni zisizohakikiwa, kwa mtazamo wa jumla unaweza ukawa ni mmoja katika kundi wa hawa washirikina na hivyo unajaribu kujenga utetezi wa kuwalinda washirikina kashfa hii kwa vile wachawi kwa wachawi hawawezi kushikana uchawi.
wewe ndo mshirikina maana unapenda hbr za.kichawi kuliko hbr za ukweli