Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,678
Si wamuomdoe Hapo na kupelekwa mbali zaidi?Wamasai wanakawaida zao za kuitishana vikao vya kupatanisha, tofauti na hapo hakuna kingine zaidi ya visasi na ukifa usije kwenye msiba basi.. Ila bado Witness Obedi anaishi maisha yenye kutia huruma na ni amejikatia tamaa ya maisha.. Bila huyo shangazi yake kufa hatokaa awe wa kawaida kamwe.