mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 98
Mimi nina msichana ambaye alitoka kwenye mahusiano ya zamani na kuanzisha mahusiano na mimi mapya ila msichana wangu huyu siku moja aliniambia kuwa anaomba nauli ili aende akamchane live ex wake kuwa aachane nae ili asiendelee kumsumbua.
Basi nikampa nauli akaenda kwa ex wake huyo ila cha ajabu huyu msichana akaja kuniomba msamaha kuwa baada ya kufika kwa ex wake huyo shetani alimpitia akasex nae bila kutegemea, kwa kuwa huyo ex wake alimlazimisha kufanya nae mapenzi na mpaka sasa huyo ex wake ameshaachana nae rasmi baada ya kumwambia kuwa ana mpenzi mpya ambaye ni mimi.
JE HUYU MSICHANA ANANIFAA AU HANIFAI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nikampa nauli akaenda kwa ex wake huyo ila cha ajabu huyu msichana akaja kuniomba msamaha kuwa baada ya kufika kwa ex wake huyo shetani alimpitia akasex nae bila kutegemea, kwa kuwa huyo ex wake alimlazimisha kufanya nae mapenzi na mpaka sasa huyo ex wake ameshaachana nae rasmi baada ya kumwambia kuwa ana mpenzi mpya ambaye ni mimi.
JE HUYU MSICHANA ANANIFAA AU HANIFAI?
Sent using Jamii Forums mobile app