Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mpe tena nauli akamchane live
sent from my Tecno W3
sent from my Tecno W3
MUOMBE MSAMAHA MAANA WE NDO CHANZO CHA YEYE KUGONGWA! MWAMBIE AKUSAMEHE KWA KUMPA NAULI NA MWISHO AKAENDA KUGONGWA NA EX WAKE!Mimi Nina demu ambaye alitoka kwenye mahusiano ya zaman na kuanzisha mahusiano na Mimi mapya ila dem wangu huyu siku moja aliniambia kuwa anaomba nauli ili aenfe akamchane live ex wako kuwa aachane nae ili asiendelee kumsumbua basi nikampa nauli akaenda kwa ex wake huyo ila cha ajabu huyu demu akaja kuniomba msamaha kuwa baada ya kufika kwa ex wake huyo shetan alimpitia akasex nae bila kutegemea kwa kuwa huyo ex wake alimlazimisha kufanya nae mapenz na mpka sasa huyo ex wake ameshaachana nae rasmi baada ya kumwambia kuwa ana mpenz mpya ambaye ni Mimi.
JE HUYU DEMU ANANIFAA AU HANIFAI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakufaa endelea nae.Mimi Nina demu ambaye alitoka kwenye mahusiano ya zaman na kuanzisha mahusiano na Mimi mapya ila dem wangu huyu siku moja aliniambia kuwa anaomba nauli ili aenfe akamchane live ex wako kuwa aachane nae ili asiendelee kumsumbua basi nikampa nauli akaenda kwa ex wake huyo ila cha ajabu huyu demu akaja kuniomba msamaha kuwa baada ya kufika kwa ex wake huyo shetan alimpitia akasex nae bila kutegemea kwa kuwa huyo ex wake alimlazimisha kufanya nae mapenz na mpka sasa huyo ex wake ameshaachana nae rasmi baada ya kumwambia kuwa ana mpenz mpya ambaye ni Mimi.
JE HUYU DEMU ANANIFAA AU HANIFAI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuwa nae mkuu. Anakupenda huyo. Kama unayo pesa mpe nauli na hela ya gesti aende akamchane vizuri bila kuona haya mana mwanzo hakumchana vizuri alikuwa na woga akihofia anaweza kuzabwa vibao lkn sasaiv kashajua kama hatopigwa basi mpatie na ya gesti akamchane tu. We endelea kuwa nae, yaani we jamaa una moyo mzuri kweliMimi Nina demu ambaye alitoka kwenye mahusiano ya zaman na kuanzisha mahusiano na Mimi mapya ila dem wangu huyu siku moja aliniambia kuwa anaomba nauli ili aenfe akamchane live ex wako kuwa aachane nae ili asiendelee kumsumbua basi nikampa nauli akaenda kwa ex wake huyo ila cha ajabu huyu demu akaja kuniomba msamaha kuwa baada ya kufika kwa ex wake huyo shetan alimpitia akasex nae bila kutegemea kwa kuwa huyo ex wake alimlazimisha kufanya nae mapenz na mpka sasa huyo ex wake ameshaachana nae rasmi baada ya kumwambia kuwa ana mpenz mpya ambaye ni Mimi.
JE HUYU DEMU ANANIFAA AU HANIFAI?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahhahahhahahhahahahhhah......................Endelea kuwa nae mkuu. Anakupenda huyo. Kama unayo pesa mpe nauli na hela ya gesti aende akamchane vizuri bila kuona haya mana mwanzo hakumchana vizuri alikuwa na woga akihofia anaweza kuzabwa vibao lkn sasaiv kashajua kama hatopigwa basi mpatie na ya gesti akamchane tu. We endelea kuwa nae, yaani we jamaa una moyo mzuri kweli