Huyu jamaa amenichekesha asee nimeanza kuamini wanaume halisi ni viumbe adimu tulio hatarini kutowekayaan unampa nauli ya kwenda "kumchana mwanaume" na wewe unaamini anaenda kumchana ...du ama kweli dunia ina mambo...next time tena mpe nauli aje anichane na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ongea taratibu asitusikie ...akitusikia hatampa nauli ...leo ni zamu yangu kuja "kuchanwa".. wewe subiri keshoHuyu jamaa amenichekesha asee nimeanza kuamini wanaume halisi ni viumbe adimu tulio hatarini kutoweka
We nae zaif sana kweny secta hii,,,,,,yani nauli katoa kwa jili yakwenda kumchana x wake tna unamwambia afanye kit moy unapnda?????so embarasng
Sawa endelea kuropoka bwana mdogo, ukikua nistue nikupe maarifaWe nae zaif sana kweny secta hii,,,,,,yani nauli katoa kwa jili yakwenda kumchana x wake tna unamwambia afanye kit moy unapnda?????so embarasng
Ni miMi CHalIIiiii Ya "R"