Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,113
- 110,869
Yeah babe...real men never kiss and tell.
You nile it
Yeah babe...real men never kiss and tell.
Real women mnatakiwa mkitongozwa msiambie rafiki zenu unaweza kushtukia jamaa amepita na wote!real men never kiss and tell.
Hapa kumla nitaangia gharama sio mbaya nimetenga laki 500,000/= ikikata hiyo basi naachane nae.Mkuu acha fix. Utamlaje dem ambae hataki kuonana na wewe. We ulijichanganya ukashindwa kumla siku ya sherehe unadhani utaweza tena. Ndo imetoka hiyo mkuu labda umle kwa hisia na sabuni bafuni
guess you're writing this to your girl and not me.Real women mnatakiwa mkitongozwa msiambie rafiki zenu unaweza kushtukia jamaa amepita na wote!
Am wondering why you are on this forum if you think relationship and love shouldn't be something you openly discuss.guess you're writing this to your girl and not me.
Tungekuwa tunasimulia Jf server zingeshajaa.
Anajua Safari hii nitamtendea haki ndio maana akwepa !Haupo romantic mzee,demu hana hamu/ shauku ya kukutana na wewe tena
California love
Unalalamika utadhani wewe mzazi wake.Juzi kati wadau nilienda kwenye Harusi ya ndugu, sasa nilikabidhiwa gari niwaendeshe bridesmaids.
Katika harakati za hapa na pale nikiwa nimeshaopoa mmoja wakati ule binti akawa amenielewa balaa hata wakati wapicha tukafanya photoshoot session yetu mpaka tukakiss.
Sasa nashangaa baada ya kumaliza shughuli ya Harusi demu anasoma chuo karudi hostel anakuwa na kiburi balaa. Nataka nimtoe out anasema Hana muda. Amekuwa na dharau,jeuri sijapata kuona. Nilitaka kumtukana.
Ushauri wenu wadau, demu mwenye kiburi nimle tu tunda niachane naye maana siwezi kuwa na demu mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani fisi.
😂😂😂Mzee ukiwa kwenye sherehe ukapata mtu hakikisha unammega siku hiyohiyo akitoka pale ile furaha na wenge la sherehe au msiba humuisha na kurudiwa na akili timamu.
Kwahiyo hapo ni binti akili zimemrudia wenge limemtoka. Fanya maisha mengine. Halafu kumtukana mtu ambaye amekuonyesha maamuzi yake ni yapi ni ujinga, kua mpole.
Nakazia hapo kwenye good kisser🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa si umuache tafuta asiye na jeuri......... pengine wewe sio good kisser ndo maana anakuletea ujeuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😆😀😆 dah mkuu poa bana kaukomeshe mfuko wakoHapa kumla nitaangia gharama sio mbaya nimetenga laki 500,000/= ikikata hiyo basi naachane nae.
nna uhakika the way alivyomkiss mdada hakuleta maajabu 😂😂😂😂😂Nakazia hapo kwenye good kisser🤣🤣🤣🤣🤣🤣
AiseeYou nile it
wananini?Wanaume wa siku hizi [emoji38], khaaa