Msichana ana kiburi, jeuri na dharau

Msichana ana kiburi, jeuri na dharau

Juzi kati wadau nilienda kwenye Harusi ya ndugu, sasa nilikabidhiwa gari niwaendeshe bridesmaids.

Katika harakati za hapa na pale nikiwa nimeshaopoa mmoja wakati ule binti akawa amenielewa balaa hata wakati wapicha tukafanya photoshoot session yetu mpaka tukakiss.

Sasa nashangaa baada ya kumaliza shughuli ya Harusi demu anasoma chuo karudi hostel anakuwa na kiburi balaa. Nataka nimtoe out anasema Hana muda. Amekuwa na dharau,jeuri sijapata kuona. Nilitaka kumtukana.

Ushauri wenu wadau, demu mwenye kiburi nimle tu tunda niachane naye maana siwezi kuwa na demu mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani fisi.
Dogo bado una muda mrefu wa kuwasoma wanawake, tafuta maisha kwanza. Huyo dem alishakusoma kuwa hauna hela na anajua wazi hautamuoa zaidi ya kummega-mega kwa muda halafu utamwacha, kwahiyo basi ;- dem hajaona sababu ya kuhangaika na wewe ndiyo maana anakukatisha tamaa.

Hana ujeuri bali anakukatisha tamaa ili umwache.
 
Juzi kati wadau nilienda kwenye Harusi ya ndugu, sasa nilikabidhiwa gari niwaendeshe bridesmaids.

Katika harakati za hapa na pale nikiwa nimeshaopoa mmoja wakati ule binti akawa amenielewa balaa hata wakati wapicha tukafanya photoshoot session yetu mpaka tukakiss.

Sasa nashangaa baada ya kumaliza shughuli ya Harusi demu anasoma chuo karudi hostel anakuwa na kiburi balaa. Nataka nimtoe out anasema Hana muda. Amekuwa na dharau,jeuri sijapata kuona. Nilitaka kumtukana.

Ushauri wenu wadau, demu mwenye kiburi nimle tu tunda niachane naye maana siwezi kuwa na demu mwenye ngozi ya kondoo kumbe ndani fisi.
Hahaha !! Nimecheka balaa mbona iyo ni tabia ya kawaida kwa kina dada kwenye mambo ya events km kanisani.harusin.etc kuwa na shobo mpaka mtu unashangaa lkn event ikiisha anarud kuwa yule yule sasa dawq yao moja usimfuatilie achana nae na ikitokea event nyingine usiwe karibu naye mpuuze apo utakuwa umemuweza lkn ukizid mshobokea anakuona fara
 
Jamani siku hio hio mkakiss[emoji15][emoji45][emoji15][emoji15] Jhooo jhooo jhoooo.
We unamwambiaga muende wapi?
 
ushamlaaa mkuuu mana kama ujamlaa bhasi tena ulikosea mwenyewe ungempiga ata kidolee
 
Back
Top Bottom