VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 546
- Thread starter
- #61
Kweli mkuu itabidi nifanye hivyo yaani anajifanya yupo busy utafikiri Ni CEO wa Apple,google,Facebook au Goldman Sachs.Mtu akikuoneshea ujeuri we kuwa jeuri zaid yake.
Fanya kumtumia muamala wa laki moja ( iwe ni usiku mda ambao hawezi kwenda kwa wakala kutoa) kisha baadae urudishe muamala wako .
Hapo utakua umemuoneshea ujeuri wa hali ya juu, make hamna kitu kinauma kama kuwa ushapigia hela hesabu afu ukaona inayeyuka kma hela za Dr Shika.